Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mjomba wangu alikuwa ni mwalimu wa shule ya msingi huko Mbeya. Kastaafu mwaka 2017 na kalipwa mafao mwaka 2019. Aliwekeza Tsh 30,000,000. Zimepoteamchungaji katoa wapi mil200? na hao wastaafu wametoa wapi mil300? hawa ni wizi walio zidiwa ujanja na wizi wengine. Ngoma droo
Mpe pole kama bado anahemaMjomba wangu alikuwa ni mwalimu wa shule ya msingi huko Mbeya. Kastaafu mwaka 2017 na kalipwa mafao mwaka 2019. Aliwekeza Tsh 30,000,000. Zimepotea
Huyo mchungaji alishindwaje kuona maono juu ya hatari hii?mchungaji katoa wapi mil200? na hao wastaafu wametoa wapi mil300? hawa ni wizi walio zidiwa ujanja na wizi wengine. Ngoma droo