njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Ukweli ni kwamba pamoja na kwamba mnatawala maiti na ma dunderheads makondoo grade A duniani ila mna roho mbaya nyie ni SADDISTS kama wale kwenye movies ambao huwa wanamuuua mtu kifo cha taratibu na victim anapopiga kelele kwa maumivu basi huwa ni furaha kubwa sana ya mtesaji
Kama vile paka anavyomuua panya taratiibu anamchezea anamtesa anamcheka hadi anamuuua ndicho kinachofanywa na awamu ya sita MATOZO kila kona ukisema u relax na tv channels nyumbani bei zinapanda tozo hadi za decorders, mara bundles zinaibiwa na kupanda kila siku, wanavamia hadi accounts za benki na kuiba
Malalamiko yakija eti zinajenga zahanati na madarasa, PESA ZINAIBIWA MNOOOOOO na hali ni mbaya hata reports za CAG zimegeuzwa mchezo wa kuigiza anatajataja tu ma figures yake yaliyoibiwa then business as usual
Ona sasa majuzi tu Tamisemi wameiba mabilions kimyaa sasa hazina wanaiba hata za wastaafu ni kimya tena
halafu tozo za wizi unasema eti zinalete maendeleo, hapo bado kuna billions 600 kila mwaka za kunununua magari luxury
WAAAFRIKA NI LAANA, KIUMBE DUNI KABISA SELFISH MNOOO
Kama vile paka anavyomuua panya taratiibu anamchezea anamtesa anamcheka hadi anamuuua ndicho kinachofanywa na awamu ya sita MATOZO kila kona ukisema u relax na tv channels nyumbani bei zinapanda tozo hadi za decorders, mara bundles zinaibiwa na kupanda kila siku, wanavamia hadi accounts za benki na kuiba
Malalamiko yakija eti zinajenga zahanati na madarasa, PESA ZINAIBIWA MNOOOOOO na hali ni mbaya hata reports za CAG zimegeuzwa mchezo wa kuigiza anatajataja tu ma figures yake yaliyoibiwa then business as usual
Ona sasa majuzi tu Tamisemi wameiba mabilions kimyaa sasa hazina wanaiba hata za wastaafu ni kimya tena
halafu tozo za wizi unasema eti zinalete maendeleo, hapo bado kuna billions 600 kila mwaka za kunununua magari luxury
WAAAFRIKA NI LAANA, KIUMBE DUNI KABISA SELFISH MNOOO