Mabilioni Yanga usajili utashtua, Aziz Ki balaa!

Mabilioni Yanga usajili utashtua, Aziz Ki balaa!

Simba usiku huu wamepindua meza kwa Aziz Ki
hajismanara~p~CerSPW2rSbJ~1.jpg

Cc. OKW BOBAN SUNZU
 
Kuna mikataba miwili tofauti ya Adam
1.Mkataba kati ya Azam TV na TFF (TV Rights)-ambapo bingwa anapata milioni 500

2.Mkataba kati ya Azam TV na Yanga-Huu unahusu haki ya maudhui yote yanahusu Yanga,yanamilikiwa na Azam na Mkataba huo ni Wa Billion almost 30 kwa miaka 10.….…....ila kuna kipengele cha Bonuses endapo timu ikichukua ubingwa inapata Bonus ya Billion 3
Mbumbumbu aka kolo hawezi kukuelewa
 
Back
Top Bottom