eeh!
leo mamaa umepiga ngumi ya kushtukiza
lakini believe me,haya mambo yanategemea na makabila
KWA MFANO:wakinga ni watu wa ajabu sana......!wana kawaida ya kuwataja majina watoto zao kulingana na kitu/mtu anayevuma kipindi hicho!
mfanoi halisi kabisa(fidel atatusaidia...)kuna mtoto pale makete amezaliwa mwaka
2005 anaitwa JAKAYA MRISHO KIKWETE SANGA😀
teh teh teh teh wasiwasi si jambo zuri,humfanya mtu atoe maamuzi yasiyo sahihicompressor
compressor has no status.
Member
Join Date: Thu Nov 2009
Posts: 14
Thanks: 0
Thanked 3 Times in 3 Posts
Rep Power: 0
Hahaha! No wonder! Compressor una spidi kali wewe! LOL!
Ziondaughter
Ziondaughter is smart and special
JF Premium Member
Join Date: Thu Jul 2009
Location: DSM
Posts: 927
Thanks: 102
Thanked 212 Times in 148 Posts
Rep Power: 22
Hahaha! No he can't. That much I can swear! LOL!
teh teh teh teh wasiwasi si jambo zuri,humfanya mtu atoe maamuzi yasiyo sahihi
compressor
compressor has no status.
Member
Join Date: Thu Nov 2009
Posts: 14
Thanks: 0
Thanked 3 Times in 3 Posts
Rep Power: 0
Hahaha! No wonder! Compressor una spidi kali wewe! LOL!
Ziondaughter
Ziondaughter is smart and special
JF Premium Member
Join Date: Thu Jul 2009
Location: DSM
Posts: 927
Thanks: 102
Thanked 212 Times in 148 Posts
Rep Power: 22
Hahaha! No he can't. That much I can swear! LOL!
kwa sababu una wasiwasi ndomana unarusha wivu kwa mtu asiepaswa,unamfanyia maamuzi mpenzi wako na unamfanya aonekane kama hawezi yeye mwenyewe kusema yale unayoyasema wewe kumsemea.wakati yeye amefanya maamuzi ya kunyamaza kimya kwa sababu hakuna kitu kama hichoHahaha! Kuna tofauti kubwa kati ya wasiwasi na wivu. Hapa ni wivu! LOL!
Nice discussion FL1.
Now you are talking!
Ni bahati mbaya sana kwamba mtoto akipewa jina la hivyo, anaandaliwa maisha ya shida sana na kurithi bila kupenda laana na mikosi katika maisha yake!
Kwa sisi tunaoenda kiroho zaidi, jina hilo litakuwa kama alama ya kudumu kwa mtoto itakayokuwa inam'haunt wherever he goes, maana limetolewa kwa baraka za Uzinzi!
Tuwe makini sana tunapotoa majina kwa watoto, maana vinginevyo tunawalaani watoto na kuwafungia milango ya neema bila kujistukia.
Any JF member never attempt tahat kama unampenda mwanao na kupenda kuwa angepata maisha mema mbeleni!
Be Blessed pals!
haya mambo yapo jamani. Lakini nadhani ni kujitafutia matatizo yasiyokuwa na msingi, habari ya kumbukumbu isiwe kihivi jamani maana ikigundulika ni migogoro mitupu itafuatia.
Na utuletee majibu basi🙄. tukusaidie kulia !!!!!!!teh teh teh
sioni ka ni tatizo saaaana ila heshima mbele.....lol....
hahahaha uwiiiiiiiiiiiii mama weeeee mbavu sina mie, Geoff unabalaa wewe, duh hii kalieeh!
leo mamaa umepiga ngumi ya kushtukiza
lakini believe me,haya mambo yanategemea na makabila
KWA MFANO:wakinga ni watu wa ajabu sana......!wana kawaida ya kuwataja majina watoto zao kulingana na kitu/mtu anayevuma kipindi hicho!
mfanoi halisi kabisa(fidel atatusaidia...)kuna mtoto pale makete amezaliwa mwaka
2005 anaitwa JAKAYA MRISHO KIKWETE SANGA😀
sioni ka ni tatizo saaaana ila heshima mbele.....lol....
FL1 ni vyema usiende kuuliza kwa maana jibu unalo na ndo ulilokuwa nalo siku zote na unaishi kwa amani ssa ukaulize ili iweje?,unaemchunguza haupo tayari kumpenda kwa maana utakuwa unatarajia mabaya na ukizama sana unaweza kuyakuta na hayatokupa furaha,ni bora ukae ukijua hakuna baya kwa maana hivi sasa unaishi vyemahahaha shishi kuna ule msemo ukimchunguza bata hutamla
Heehehe,kweli shemeji umeua,sijawahi sikia hii.Tuambie na jirani zako ile njia ya kukatiza pale makambako kwenda kusini,mbona wanaitwa kama wanyama,mara komba,nyani nk. maana yake nini?maeneo yangu ya kujidai MAKAMBAKO,mwanzoni mwa miaka ya tisini kulikuwa na mtindo wa wakinga kununua FUSO!kuna watoto wengi sana waliitwa majina yafuatayo kwa vibongo tofauti:
FUSO SANGA
FUSO MAHENGE
FUSO MBILINYI
FUSO TUMTEMEKE
FUSO MGAYA
BEDFORD SANGA
SCANIA MAHENGE
STAUT MSIGWA
yani ni vurugu tu!..............
maeneo yangu ya kujidai MAKAMBAKO,mwanzoni mwa miaka ya tisini kulikuwa na mtindo wa wakinga kununua FUSO!kuna watoto wengi sana waliitwa majina yafuatayo kwa vibongo tofauti:
FUSO SANGA
FUSO MAHENGE
FUSO MBILINYI
FUSO TUMTEMEKE
FUSO MGAYA
BEDFORD SANGA
SCANIA MAHENGE
STAUT MSIGWA
yani ni vurugu tu!..............
Husband Xpin!,(ooops sore mchumba kumbe!!) na Compresor ofutopic zimezidi.Rudini kwenye topik sasa.Kila mmoja anajua mie na Xpin hatuachani,tatizo lipo wapi?
Haya niambie Xpin hili jina lilipendekezwa na nani? baba au mama ?umeshawahi kujiuliza kweli?
Na wewe compressor,siri ya jina la yule binti yako ni nini?.
yah vyema!,huyu bint nimempa jina la bibi yake mzaa mama yake,yaani jina la mama mkwe wangu,hii ni kuepusha utata kama huu aliouleta FL1Husband Xpin!,(ooops sore mchumba kumbe!!) na Compresor ofutopic zimezidi.Rudini kwenye topik sasa.Kila mmoja anajua mie na Xpin hatuachani,tatizo lipo wapi?
Haya niambie Xpin hili jina lilipendekezwa na nani? baba au mama ?umeshawahi kujiuliza kweli?
Na wewe compressor,siri ya jina la yule binti yako ni nini?.