Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,240
Makubwa hizi pesa ndio zikufanye ukose raha/amani ya maisha!.Za nini sasa?sasa shida ikowaipi kama mtu anatafuta pesa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makubwa hizi pesa ndio zikufanye ukose raha/amani ya maisha!.Za nini sasa?sasa shida ikowaipi kama mtu anatafuta pesa?
she is you mchumba sasa ulitegemea akosee jina?? basi hata wewe angeweza kukosea hata kwa kukufananisha na mwingine!!!
sasa shida ikowaipi kama mtu anatafuta pesa?
LOL! patakuwa hapatoshi! Muulize mwenyewe vita vyangu.
hehehee! Iribini anamgwaya compressor! kazi kwelikweliwapi weweeee!!! leo 'compressor' alianza kukupa joto lol!!
hahaaa Iribini the man himself...
Jamani lini amekwambia anakosa raha ya maisha?Makubwa hizi pesa ndio zikufanye ukose raha/amani ya maisha!.Za nini sasa?
Jamani lini amekwambia anakosa raha ya maisha?
hehehee! Iribini anamgwaya compressor! kazi kwelikweli
wapi weweeee!!! leo 'compressor' alianza kukupa joto lol!!
hahaaa Iribini the man himself...
...Sio utani mpwa!!!!maswali mengi kuliko majibu kabisaaa!zinaweza kukufanya uchunguze upya jina la mwanao lililotolewa na mkeo
Mabinamu wangu kutoka Bongo nauliza swali;
Ikitokea umegundua wife au husband kampa jina mtoto jamaa wake wa zamani utafanyaje?
Mama mmoja alizaa na baba yangu. Alipoolewa tena akampa mwanae wa kwanza jina la mmoja wetu. Inatokea ila si vizuri spouse akijua, kama unampenda sana ungemuwowa au angekuwowa.[/QUOTE]
chupaku umenena ..kama umemependa basi vuta ndani
Hahaha! Nisimgwaye mchezo? Viserengeti boys huwa havichelewagi! LOL!
heeee iribini, compressor ni kiserengeti boy?????????????
Mabinamu wangu kutoka Bongo nauliza swali;
Ikitokea umegundua wife au husband kampa jina mtoto jamaa wake wa zamani utafanyaje?
hehehehehhee,No comment!He! Stuka! Hukuona hata mchumba alianza kupoteza dira na mwelekeo? Nisingekuwa mkali kababy-boy katarajiwa kangeitwa kompresa! Stuka bht! Machale!
Bora umedhibitisha ndugu yangu,maana humu ndani **** Matomaso wakiongozwa na Iribini.Mie mwanangu bora nimwite Bht,maana jina hili zuri kweli na maana yake itakuwa nzuri!
He! What is bht? BIHECHITII? Hata kutamka halivutii. Bihechitii? LOL! Afadhali Iribini.