Mabingwa ndani ya basi special wanatamba Mitaa ya MSIMBAZI, mtaa umefurika njano na kijani halafu linapigwa GOMA LA "hawaamini macho yao"

Mabingwa ndani ya basi special wanatamba Mitaa ya MSIMBAZI, mtaa umefurika njano na kijani halafu linapigwa GOMA LA "hawaamini macho yao"

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264


Mabingwa wamefika Mitaa ya MSIMBAZI mbele ya ofisi za MAKOLO wakiwa kwenye BASI MAALUM (sio fuso za kubebea viazi), mtaa umefurika njano na kijani alafu linapigwa GOMA LA "hawaamini macho yaoooo"

IMG-20220626-WA0029 (1).jpg
 
Hongera nyingi ziwafikie SIDO kwa uwezo wao mkubwa wa kulichomelea[emoji23][emoji23] na kuliungaunga mpaka likakaribia kufanana na la Madrid[emoji3]
images%20(3).jpg
images.jpg
 
Huko kwao mzee nyoni alining'inia kwenye fuso daah kweli mudi sio mtu aseeh
 
Back
Top Bottom