"Mabingwa wa Dunia" ety "World Champs" Kwanini Wamarekani wanawaita mabingwa wa michezo yao mabigwa wa dunia?

"Mabingwa wa Dunia" ety "World Champs" Kwanini Wamarekani wanawaita mabingwa wa michezo yao mabigwa wa dunia?

Nkaburu

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2023
Posts
1,638
Reaction score
1,961
Katika ligi nyingi za michezo za Kimarekani, kama MLB Major League Baseball, NBA National Basketball Association, na NFL National Football League, timu zinazoshindana na wachezaji wake huitwa "Mabingwa wa Dunia"? Ukizingatia kuwa mashindano hayo yanajumuisha timu na wachezaji kutoka Marekani tu?


Unadhani ni sawa kuita mabingwa wa ligi za michezo za Kimarekani World Champs?
 
Katika ligi nyingi za michezo za Kimarekani, kama MLB Major League Baseball, NBA National Basketball Association, na NFL National Football League, timu zinazoshindana na wachezaji wake huitwa "Mabingwa wa Dunia"? Ukizingatia kuwa mashindano hayo yanajumuisha timu na wachezaji kutoka Marekani tu?


Unadhani ni sawa kuita mabingwa wa ligi za michezo za Kimarekani World Champs?
Kwa Basketball mshindi Marekani ni mshindi wa dunia, hiyo michezo mingine sijui.
 
Kwa Basketball mshindi Marekani ni mshindi wa dunia, hiyo michezo mingine sijui.
kuna hata angalau timu yetu moja. DON Bosco labda imeshirikishwa huko?

Kwanini timu na nchi nyingine hawashirikishwi ile kuwepo na ka konsesus fulani hv kuwa so and so kweli Mabingwa wa Dunia. Huwa sielewe hizi dynamics
 
leo huko ni Super ball, nalala mapema nidamkie nii watch. Ila utasikia. 'We are the Champs of the World" babyyyy

Hv washa jaribu kucheza na Watanzania?

Unadhani ni sawa kuita mabingwa wa ligi za michezo za Kimarekani World Champs?
 
Quarter Back. Huku kwetu kwa kiswahili tutamuitaje huyu? Robo nyuma?

Defensive end je? mchezaji wa mwisho wa kujihami?
Tight end je?
Running back je?
 
Quarter Back. Huku kwetu kwa kiswahili tutamuitaje huyu? Robo nyuma?

Defensive end je? mchezaji wa mwisho wa kujihami?
Tight end je?
Running back je?
 
Back
Top Bottom