SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 7,895
- 12,975
Huu ususi mpya uliofanywa na Simba sijui tuuitaje, wasusi kina Kalpana na maras tulionao humu watatusaidia ila ni wazi hii ni Simba brand new tunaenda kuiona.
Misimu miwili iliyopita niliwahusia viongozi wa Simba waanze mchakato wa kuisuka upya kikosi cha Simba ili baada ya misimu mitatu, tuwe na timu mpya kabisa au walau kikosi cha kwanza kipya kabisa. Naona hili linaenda kutimia. Toka nimeyasema maneno hayo, nadhani ni mchezaji mmoja au wawili ndiyo wana uhakika wa kuanza kikosi cha kwanza. Haya ni mabadiliko makubwa saaana.
Pia jana wachezaji wamefanyiwa jambo la muhimu mnoo kwa kupewa orientation ili wawezi kuijua Simba vizuri. Hili ni jambo ambalo tumekuwa tunalililia kwa muda mrefu, wachezaji wengi wa kigeni hawakuwa wanajua uzito wa timu wanayochezea. Ni kama walikuwa wanasajiliwa, wanapewa mpira wanaambiwa haya nendeni mkacheze. Nadhani hili liwe zoezi endelevu ili liwaingie vizuri.
Huu ususi kama twende kilioni hiviii kwa masela tunaopenda pisi zisizo na mambo mengi.
Misimu miwili iliyopita niliwahusia viongozi wa Simba waanze mchakato wa kuisuka upya kikosi cha Simba ili baada ya misimu mitatu, tuwe na timu mpya kabisa au walau kikosi cha kwanza kipya kabisa. Naona hili linaenda kutimia. Toka nimeyasema maneno hayo, nadhani ni mchezaji mmoja au wawili ndiyo wana uhakika wa kuanza kikosi cha kwanza. Haya ni mabadiliko makubwa saaana.
Pia jana wachezaji wamefanyiwa jambo la muhimu mnoo kwa kupewa orientation ili wawezi kuijua Simba vizuri. Hili ni jambo ambalo tumekuwa tunalililia kwa muda mrefu, wachezaji wengi wa kigeni hawakuwa wanajua uzito wa timu wanayochezea. Ni kama walikuwa wanasajiliwa, wanapewa mpira wanaambiwa haya nendeni mkacheze. Nadhani hili liwe zoezi endelevu ili liwaingie vizuri.
Huu ususi kama twende kilioni hiviii kwa masela tunaopenda pisi zisizo na mambo mengi.