Mabingwa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Simba SC yakaribia kumaliza kusuka upya kikosi chake

Hizi zilikua ronyaronya mzee hauwezikulinganisha na talents wanazosajili Simba, hizi ni pure talent alafu bado ni vijana na ilitakiwa waende ulaya sema tu pochi la Mo limewavuta wakadondokea msimbazi
Unaimani kama wafuasi wa Mwaposa
 
Badilisha kichwa cha habari, Simba ni mabingwa wa kombe gani au ulimaanisha Mapinduzi?. Ligi ikianza tusisikie mambo ya bahasha au Mangungu aondoke.
 
Wachezaji waliosajiliwa na simba ukiwafuatilia mchezaji mmoja mmoja, ni ukweli usiopingika jamaa wamesajiri wachezaji wazuri sana. Kitu kimoja ningependa niwashauri viongozi na wanachama wa simba ni kulinda wachezaji wao dhidi hujuma mbalimbali kutoka kwa wapinzani wao. Kwa taarifa za kiintelejensia zilizopo simba kwa misimu miwili iliyopita ilihujumiwa na adui zake kupitia wachezaji wake. wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…