Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
Chombeza kwa vizawadi na Pesa vinginevyo watu wanachoka kila siku 😅😜Yani we muda wote mawazo yako ku.se.x tu, mi nmechoka siwezi
Juzi nlikupa jana tumefanya na leo unataka tena? mi nimekuwa mashine? sitaki niache huko tena unikome.
Tumbo linaniuma sitaweza ku.se.x leo.
Jana nimeangia mp [wakati mtu mwenyewe mkavu huna cha iyo mp wala wp]
Watoa kauli hizi mnakuwa mmepatwa na nini hasa? Je ni kweli mnakuwa mmechoka au ni kudai kodi ya meza kijanja au nini hasa?
we ndo zako kumbe?Chombeza kwa vizawadi na Pesa vinginevyo watu wanachoka kila siku 😅😜
Badilika buanawe ndo zako kumbe?
daah nndo inakuwaga ivo mkuu kwenye miti hakunagq wajenziDaaah, hebu tubadilishane wake mkuu, nikupe huyu anaetaka kila siku.
My enemy Hannah if you are tired, can you please sit on my face??.Yaani kama ni hivi pusy utapewa kuonewa huruma tu.
Sijui nimemchoka! Ila hapana nampenda, ila tu ngono sio kipaumbele changu. Japokuwa navutiwa sana na warembo.daah nndo inakuwaga ivo mkuu kwenye miti hakunagq wajenzi
mkuu au umesahau mapenzi ndo yanarun dunia auAnyways natania, tuendelee kuzungumzia ngono bhn sisi si ndio waafurika
Hizo chombeza inafaa kuzitoa wakati gani, kabla au baada?Chombeza kwa vizawadi na Pesa vinginevyo watu wanachoka kila siku 😅😜
Kabla aisee kuna hisia huwa zinaamka mara moja. Hata kama ni Mkeo Mletee vitu anavyovipenda sana Mfano Saa, Chen, hereni nzuri sana, Mikoba Pesa kidogo za matumizi yake. Sio kila wakati watoto tu.Hizo chombeza inafaa kuzitoa wakati gani, kabla au baada?
Nazungumzia kwa mke ambaye ni blanketi langu.
Watu kama wewe mnanishangazs.Mada ya Kijinga kabisaa, uzi unajaza tu server za Max.
Uzi huu ufutwe, uzi huu ufutwe, uzi huu hauna maadili, uzi huu Ufutwe.
Anyways natania, tuendelee kuzungumzia ngono bhn sisi si ndio waafurika
WTF did I just read??My enemy Hannah if you are tired, can you please sit on my face??.