Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Naskia skuizi anatembeza masufuria na vijiko mtaani kwakeπ€£πππFix gang ile kichwa ya afu 3 haipo sawa tokea limelimwa kibuti
Lazima atembeze mkuu jinga sana lile afu tatu hahahahaha alimkosea sana yule demu na kuanzishia kabisa uzi huku lkijipambanua na english, kumbe watu hawali kingereza mazee,Naskia skuizi anatembeza masufuria na vijiko mtaani kwakeπ€£πππ
Kiingereza chenyewe anakitoa google yuleeπ€£ππππLazima atembeze mkuu jinga sana lile afu tatu hahahahaha alimkosea sana yule demu na kuanzishia kabisa uzi huku lkijipambanua na english, kumbe watu hawali kingereza mazee,
Jobless promax linajisifia kabisa aseeKiingereza chenyewe anakitoa google yuleeπ€£ππππ
Naskia skuizi anatembeza masufuria na vijiko mtaani kwakeπ€£πππ
Intelligent businessman hajawahi kuandika chai, vungeni wadauLazima atembeze mkuu jinga sana lile afu tatu hahahahaha alimkosea sana yule demu na kuanzishia kabisa uzi huku lkijipambanua na english, kumbe watu hawali kingereza mazee,
Huyo uliemtagg ni nani mkuu! Ndie mzee wa buku 3,πIntelligent businessman hajawahi kuandika chai, vungeni
Mkuuu huyo uliye muweka ni nani maana sisi tunamsemea mwingine hapa kakaIntelligent businessman hajawahi kuandika chai, vungeni wadau
Hivi kuna mtu anakuzidi wewe kwa chai humu.?? πππWakuu habari?
Natumaini wote mko wazima huku mkijiandaa kusherehekea ufufuko wa bwana.
Humu ndani kuna mabingwa wa kutunga nyuzi za uongo uongo; ukisoma mstari wa kwanza mpaka wa mwisho, unakuta hakuna uhalisia wowote.
Ebu tuwataje hawa mabingwa, ikiwezekana wapate pepsi kwa gharama ya mifuko yao.
Nipo pale, napata gahawa.
Twende kazi
Huyo na kukurupuka kwake km braza K
Weeee anko mabakuli kafikia uko?? π€£π€£π€£Naskia skuizi anatembeza masufuria na vijiko mtaani kwakeπ€£πππ
π futari mpya ktk jungu la zamani π³Fix gang ile kichwa ya afu 3 haipo sawa tokea limelimwa kibuti
Leo demu kesho men kesho kutwa mtoaushauriYupo mmoja anaitwa george aloyce sijui..ana story za kutunga
Yule anazichukua fb kwa idd makengo sio zakoYupo mmoja anaitwa george aloyce sijui..ana story za kutunga