Mabinti, kuna la kujifunza hapa

Kwani alishawahi toa mimba???
 
Japo alishakiri kutoa mimba za kanumba lakini huwa simcheki binadamu mwenzangu akiwa katika hali kama hiyo.

Ukifikiria ni hatari ngapi tumepitia lakini Mungu akatuvusha, utajua tu si kwa kuwa werevu Ila ni neema yake tupo salama.
Kama alitoa mimba.......alishiriki kufanya mauaji kwa damu isiyo kuwa na hatia........
Na hiyo damu ndiyo inayomtesa.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…