Alola
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 476
- 299
Wakuu habari zenu.
Nimekuwa nikijiuliza kwanini mabinti wengi wanachukia somo la hisabati?. Katika kusoma kwangu O-level (additional math) mwanamke alikuwa m1 kati ya wavulana 20. A-level (PCM) walikuwa wa3 kati ya wavulana zaidi ya 20. Wakati huo huo wameonekana wakimudu sana masomo ya lugha ukilinganisha na wavulana. Je wengi wao wameumbwa na uwezo mdogo wa kulimudu somo la hisabati au huwa wanapotoshana kuwa ni 'somo la kiume'?
Nimekuwa nikijiuliza kwanini mabinti wengi wanachukia somo la hisabati?. Katika kusoma kwangu O-level (additional math) mwanamke alikuwa m1 kati ya wavulana 20. A-level (PCM) walikuwa wa3 kati ya wavulana zaidi ya 20. Wakati huo huo wameonekana wakimudu sana masomo ya lugha ukilinganisha na wavulana. Je wengi wao wameumbwa na uwezo mdogo wa kulimudu somo la hisabati au huwa wanapotoshana kuwa ni 'somo la kiume'?