Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
Kumchezea vipi yaani?? Kwani kasema anamchezea?? Nistahmilie mwenzio nlikimbia shule sometimes ikiwa jioni jioni kama hivi huwa uelewa wangu haupo vizuriDhambi ya kumchezea binti wa watu hana malengo nae ya kumuoa.
Sijamtia mimba mim wala,nilikua nakaelewa tu ila mwisho wa siku akaja nambia anamtoto na baba wa mtoto ni mtoto mwenzie age 20 amemkimbiaWhy usimwambie ukweli huyo binti hii dhambi itakurudia kwa binti zako.
Huku kwetu ndio usisemee nakwambia wapo majumbani kwao wanahangaika sana. Ukiwaona wamezeeka wananizid mpaka mm Dada yaoo inaumiza sana hawana future yeyote wamedanganya na wakipewa mimba wanakimbiwa .
Wanaume wanaowafanyia hivi mabinti sio vizuri.
agatha naomba mtoto na weweMabint wengi wa 15-19 yrs wamezalishwa na kuachwa,wengi wao hawana kipato cha uhakika,hali ni mbaya huku mtaani kwetu sijui miaka kumi ijayo tutakuwa na kizazi cha aina gani.
Namshukuru Mwenyezi Mungu niko poa. Sijui wewe? Shukrani sana[emoji1431][emoji1431][emoji1431]
Sasa hapo unafikiri wenye matatizo ni wadada au wakaka mana utu tutoto twa siku hizi tunapenda sana starehe nafikiri wajiangalie sana
Ulikesha kuamkia leo?
Watoto wa siku hizi ni hatari.unakuta binti wa miaka 14-15 analetwa na mzazi wake kupima UPT badala ya kuweka mkojo kwenye kopo anaweka maji [emoji1787][emoji1787][emoji1787] ni wajanja sana. Wengi wanadai kutiwa mimba na madereva wa bodaboda
Nilikesha na nilkuwa Moro sasa ndio naelekea Dom Nina usingizi wa watu watatu nahisi
Pole sana ukifika tu home kula kidogo halafu panda kitandani haraka sana.
Hahaa eti ulikimbia shule mkuu.Kumchezea vipi yaani?? Kwani kasema anamchezea?? Nistahmilie mwenzio nlikimbia shule sometimes ikiwa jioni jioni kama hivi huwa uelewa wangu haupo vizuri
demis unaonekana on bed uko njema sanaUkivishaur maujanja vinakuwa vikali
Nipate chai ya tangawizi tu nilale
πππππππππViumbe wenye uume ndio wanawadanganya.
Ukivishaur maujanja vinakuwa vikali