Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
Malezi tu sio mazuri watu tumekulia kwenye maisha ya kawaida sana, ila mtu akianza maisha anajifanya anaenda na wakati hivyo anashindwa kulea vizuri watotoMkuu naamini hili tatizo linaanzia kwenye Familia zetu asilimia chanzo kinaanzia huku, Umaskini unachangia pia, Utandawazi, wazazi kutokuwa na mfumo wa kuwajenga watoto wenye hofu na Mungu.