Mabinti tu hapa

Pritty wa joseph

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2014
Posts
2,379
Reaction score
2,047
Halow wana jf
Naamini humu kuna mabinti kama mimi yani 22-25.....nina wazo la biashara ila wasiwe waajiriwa nataka tuwe group la watu watano

Sifa
1.Usiwe mvivu
2.Usiwe muoga (yani tukipanga deal la kuwakwepa TRA) usiogope kukamatwa
3. Kuwa tayar kuishi kijijini
4.uwe na mtaji wa laki tatu tu
5. Usiwe umeolewa


Its all about Agribusiness
If interesred njoo pm tuyajenge

Mm nina 22yrs
 
Kwanini mabinti tu,vidume haturuhusiwi?, maana hiyo dili ni nzuri.
 
angelpound

we unge-pm namba utasumbuliwa hadi mchumba wako akutose
 
uwakilishi unaruhusiwa..nataka nimuwakilishe mama yeyooo
 
eti usiwe umeolewa---anakwenda kuwatafutia mabwana nn??
 
Mabinti lazima.mzinguane tu. Bora mngekuwa mchanganyiko
 
huhh sorry nimepotea njia,
kumbe hiki kichochoro ni cha kwa wahaya Buguruni
Eish ngoja nirudi nilikotoka.
 
Yani tunaenda kuanza maisha ya shambani sasa akiwa mke wa mtu akienda shamba nani atasimamia familia yake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…