Heshima mbele mkuu, sina matatizo ya akili, hunijui sikujui, narudia tena si lazima uchangie kila post unayoiona, nyingine unaweza zipotezea tu. Acha kugombana na keyboard yako. LOLunaweza kuwa na matatizo ya akiliumelelewa na nani??baba au mama??
Ili kujifunza.Kwahiyo unataka kujua ili?!
Si lazima uchangie, kama umechoka kakoj*e ukalale.Toa hii takataka huku !
Sijui nikujibu nini mkuu, acha kupingana na ukweli.UNATAKA MUZIKI AU GITAA??? Kwani hiyo survey yako umetumia sample ya warembo wangapi???Usijekuwa umeengalia UMPENDAYE NA WADOGO/WAKUBWA ZAKE UKAJA NA KA-THORY KAKO..........
Panapopaswa kuhoji tunatakiwa kuhoji ndo maana tumefikia hapa tulipo nway thanx nimeupenda sana mchango wako. PAMOJAMshukuru Mungu kwa kila jambo.....usihoji kazi ya Muumba!
Kwanini uone DNA na RNA ndo swali kwa wembamba wa miguu kati ya hizo kabila mbili tu? Ya waarusha umeikuta minene? Je ya wambulu au warangi nayo ulikuta ni minene? Huko majibu yake tayari unayo? Yaelekea wachagua wapi ukague miguu na wapi uache.wee kabila gani?
Basi tu nia yake awaseme waChagga,Kwanini uone DNA na RNA ndo swali kwa wembamba wa miguu kati ya hizo kabila mbili tu? Ya waarusha umeikuta minene? Je ya wambulu au warangi nayo ulikuta ni minene? Huko majibu yake tayari unayo? Yaelekea wachagua wapi ukague miguu na wapi uache.
Gbollin unakagua miguu kwani unasajili wanariadha ? kama umeona Kaskazini hakukufai wewe una uhuru wa kwenda Mbeya au Kagera ukapata miguu ,mimi binafsi hata yale mabomu ya Mbagala/Gongo la Mboto hayaniondoi kwa totoz za Kili bana.Ni dhambi kubaguana kwa ukabila au udini wa mwenzako ila nina swali kwa Wana Great thinker, katika pitapita yangu nimegundua mabinti wengi wa kichaga na kipare wana miguu midogo(mwembamba) sana tofauti na maumbo yao yalivyo. Je hii inatokana na nini? Je kuna mtu alishawahi kufanya utafiti wa RNA na DNA kujua nini kisababishi cha hali hii? Wadau wenye wapenzi wachaga au wapare (wanawake) naomba mtizamo wenu.
Ulianza vizuri kwamba asikariri mila za miaka ya 47 ila Dunia imebadilika sasa kwa nn na wewe unasema eti ukipoata mke wa kichaga hutalala njaa...?hujui hata wewe bado unakalili vilevile sema kikubwa ni kupata mwanamke mwenye akiri,mwenye kumuogopa Mungu,anayejiheshimu na mwaminifu bila kujari kabila lakeDa Lizzy thanks sana!
Kwa kuongezea ni kuwa watu hawajui kuwa dunia ya sasa imebadilika, waachane na kukariri mambo ya miaka ya 47! Ukioa mwanamke wa kichaga kiukweli hutalala njaa hata siku moja, anajua kupanga maisha hasa ukiwa muwazi kwake na kumuonyesha mapenzi ya kweli.
Binafsi am so proud kuona wanawake wa kichaga na nina-wa-admire sana! Wanaume wengi wametoka kimaisha na hawa dadaz wa kichaga! Wengi wanasema Ukioa mwanamke wa kichaga ujue umepata jembe la uhakika ktk maisha yako!
NB: Ila usije kurupuka eti umekutana nae manzese uwanja wa Fisi kisha uje kulia lia hapa hatutakuelewa! Mtoto wa kichaga mtoe aliyeko skonga/ Univers, college au Work mate wako ofisini/kazini kwenu etc kamwe hutajuta ktk maisha.
Kama vipi panda kule kule milimani: Kibosho, Marangu, Rombo, Machame, Hai/sanya juu, longuo, mawela n.k huko ndiko utapata kitu pure kabisaa
Lakini inapendeza umpate wa huku mjini kisha yeye akupeleke kule ukanywe mbege bila kusahau ngararimu... lol ...... Achana na hawa watu bana wanajua kupenda from their heart........ na ukileta ukicheche....... hapo ... hata kupigwa utapigwa.....
Kifupi hawapendi kuchezewa/kupotezewa dira ktk maisha. NDIO MAANA WANAUME WENGI WANAWAOGOPA HAWA DADA ZETU WA KICHAGA COZ WAPO STABLE NA HAWATAKI KUCHANGANYWA NA MAMBO YENU YA KUWA VICHECHE MSIO RIDHIKA KTK MAPENZI a.k.a msiwe chovya chovya!!
hii risachi ya 10 % ilifanyika wapi na lini,ilhusisha wanawake wangapi.Kweli hujakosea wana vimiguu vyembambaaaaaa halafu na makalio kama ya kihindi wengi sana wapo ivo wala wasibishe kama wapo wenye guu la bia basi mojakwa kumi na kama wapo wenye kalioz basi nao ni moja ya kumi.
Thankx mkuu kwa kunisaidia. pamoja!Ni kweli walio wengi wana miguu miembamba plus matiti makubwa hasa Wamarangu na warombo. Hata hivo uchagani kuna madem wazuri kuliko sehemu nyingine tz,na ktk rlnship wana A+ ya betrayal.
Ubarikiwe mkuu, sema wewe kuz mimi naonekana kama nawasema wachaga.Kweli hujakosea wana vimiguu vyembambaaaaaa halafu na makalio kama ya kihindi wengi sana wapo ivo wala wasibishe kama wapo wenye guu la bia basi mojakwa kumi na kama wapo wenye kalioz basi nao ni moja ya kumi.
mkuu macho ndo kila kitu,nimeishi nao kwa muda mrefu sana na nina uhakika jamaa hajakosea kabisa sema tu tunabisha kwa sababu tunabisha na sio kwamba tunabisha kuz tunajua. Ningesema wachaga ndo wazuri kila mmoja angesapoti ndo maana ni vema muda mwingine m2 ukimwambia udhaifu wake kuliko kila siku kumsifia.hii risachi ya 10 % ilifanyika wapi na lini,ilhusisha wanawake wangapi.
ndoa ni mapenzi ya wawali hizo nyingine mbwembwe tusitakagi kuamini hizi story za ukabila kwenye mahusiano
nachojua people get maaried because tey love each other
unles uniconvince vile mioyo ya wadada wa kichaga na 'wapale' iko choosy kikabila,then iyo analysis yako si sahihi
tunarudi palepale kwakuwa wewe sio mtumwa na una maamuzi tuachie sisi hawa mabinti utafute atakaye ridhisha moyo wako PERIOD.mkuu macho ndo kila kitu,nimeishi nao kwa muda mrefu sana na nina uhakika jamaa hajakosea kabisa sema tu tunabisha kwa sababu tunabisha na sio kwamba tunabisha kuz tunajua. Ningesema wachaga ndo wazuri kila mmoja angesapoti ndo maana ni vema muda mwingine m2 ukimwambia udhaifu wake kuliko kila siku kumsifia.
Kwahiyo hapa ni UDHAIFU gani unaotuambia?!Kwamba tuna miguu miembamba!!?Haya tumesikia madhaifu yetu..then what?!Tuikandike na udongo iongezeke size?!mkuu macho ndo kila kitu,nimeishi nao kwa muda mrefu sana na nina uhakika jamaa hajakosea kabisa sema tu tunabisha kwa sababu tunabisha na sio kwamba tunabisha kuz tunajua. Ningesema wachaga ndo wazuri kila mmoja angesapoti ndo maana ni vema muda mwingine m2 ukimwambia udhaifu wake kuliko kila siku kumsifia.