Mabinti wa kichaga wamekuwa kimbilio la wengi, wahojiwe wana siri gani

Mabinti wa kichaga wamekuwa kimbilio la wengi, wahojiwe wana siri gani

Ni ndoto ya kila mwanaume kuoa mwanamke ambaye yuko smart kichwani kwa mipango ya maisha na harakati zake.

Mtoto wa kichaga ukiwa naye kwenye mahusiano atakushauri vitu vingine vya maendeleo mfano kununua kiwanja, kuanzisha biashara , n.k na ataisaidia kuvisimamia na kuviendeleza.

Hii ndiyo karata inayowachota wanaume wengi sana na kuamua kuwaoa wachaga.

Tatizo la wanawake wa kichaga hujitokeza wakati "mshajipata". Ndipo umimi na roho mbaya ya mwanamke wa kichaga huchipuka.
 
Wachaga kila sifa nzuri wanayo, huko hadi kina Dayon aliyebadili jinsia na yule mwanamitindo maarufu kiburudisho cha simba la masimba yupo bila kumsahau Agrey shosti ake mama manunu..!! Kifupi wachaga wako juu huwezi kukuta watu km hao kwenye makabila mengine. Kina manka wamewapiku mpk kina koku kwa ugawaji wa asali mbichi ya nyuki wakubwa na wadogo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Comment yangu isiguswe siko vizuri leo
Hatimaye kazinguliwa na Baba Yoyoo na kakaribia kummwaga ili baharia nijichukulie jimbo kiulaiiini [emoji847]

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
 
Wachaga wako smart sana, ila vina maneno mengi, kuoa mchaga unatakiwa usiwe mwongeaji sana. Sema naskia hawana utundu kitandani😉
 
Hatimaye kazinguliwa na Baba Yoyoo na kakaribia kummwaga ili baharia nijichukulie jimbo kiulaiiini [emoji847]

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
Acha umbea 🤣🤣🤣🤣
Imebidi nicheke bila kupenda!! Kuna watu ni wafukunyuku sijaona……..!!! 🙌
Mi nimekoment kutokana na mtazamo wangu wala sina bifu na wachaga.
 
mfano Ukienda chuo kikuu UDSM ukachukua wanawake wote ukawatenga na wanaume, kisha katika hao wanawake wote wanaosoma udsm ukawatenga kikabila. utagundua wanawake wa kichaga ndio wengi kuliko makabila yote hapo udsm.

ukienda chuo cha Muhimbili napo hivyo hivyo.
Mkuu,
Sanamu lako lijengwe wap😊
 
Hivi yule anaewafundisha mabinti wenzake namna ya kulamba lolo vzr huko insta ambae pia video yake akiliwa tobo lililokatazwa (haram) ilisambaa nae ni kabila lipi?
Si nasikia Mange alishawaambia waache kumsingizia mdada wa watu, kwamba aliyeliwa na Aslay siyo huyo ni mwingine, huyo hahusiki wabongo tu waliamua kumtrendisha
 
mfano Ukienda chuo kikuu UDSM ukachukua wanawake wote ukawatenga na wanaume, kisha katika hao wanawake wote wanaosoma udsm ukawatenga kikabila. utagundua wanawake wa kichaga ndio wengi kuliko makabila yote hapo udsm.

ukienda chuo cha Muhimbili napo hivyo hivyo.
kweli.
 
Dah wakati ule nikiwa kwenye 25-30 hivi nilitafuta sana binti wa kichaga nifunge nae ndoa kwa bahati mbaya sikumpata....🙄
 
is it about quantity or quality? Most of them live in separate rooms
am aware of one couple, you will never see the husband talking when his wife is around and if necessary his voice will be so down with low vibration, but very cheerful on her absence.
 
am aware of one couple, you will never see the husband talking when his wife is around and if necessary his voice will be so down with low vibratition, but very cheerful on her absence.
mkuu mbn nawew km unavayabreti km uyo mwenzio unamsema

untk kusema nn?
 
Back
Top Bottom