harakati za siri
JF-Expert Member
- Aug 23, 2020
- 1,074
- 2,870
ni same same situation mkuu, nimekaliwa hakuna kuhema.mkuu mbn nawew km unavayabreti km uyo mwenzio unamsema
untk kusema nn?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni same same situation mkuu, nimekaliwa hakuna kuhema.mkuu mbn nawew km unavayabreti km uyo mwenzio unamsema
untk kusema nn?
sure mkuuSo much happens behind four concrete walls
Hii mentalityhata yule GT jamaa mchangisha michango wa insta anayo akiitwa malisaNi siku nyingine ya kujisifia...maana mmeona hamjaongelewa muda.
Kwa nini mnatumia nguvu kubwa kutafuta attention
Mkuu, vipi mbn mambo ya sumu tena?Ogopa sana wapalestina wa Tz, sumu haijaribiwi kwa kulambwa hata kidogo..!!
[emoji1][emoji1][emoji1]ni same same situation mkuu, nimekaliwa hakuna kuhema.
Kwenye mechi vipi?wana vigezo vingi
Wanaume wa siku hizi wanapenda kuoa wanawake wanaotoka familia bora yaani mambo safi kwao.
Hapo ndipo wanawake wa kichaga wanapopata advantage.. maana wachanga wengi ni mambo safi ukilinganisha na makabila mengine.
Pia weupe wao unawafanya waonekane wazuri.
Tatu sio wavivu hivyo mishe mishe zao zinawafanya waonekane watafutaji wanafaa kufanya nao maisha
Hivi sampuli hiyo ya wanawake watatu Watanzania wenye umri wa kuolewa inatosha kweli kufikia hoja yako/ hitimisho lako kweli? Pia, kwa kutumia kadi za mwaliko wa kuchangia ndio njia sahihi zaidi ya kupata ushahidi wa hoja yako kweli?Eti wakuu au nimimi tu ndo nayeona haya maana hadi sasa nina kadi 3 za harusi kati ya izo 2 ni za hao.
Kwaiyo mkuu vijana wanalalamika oh wanawake wanapenda hela mara oh wanajirahisha kwa wenye nazo kumbe na wao wanapenda mseleleko?Mabinti wa kichaga kichwani wapo vizuri kiuchumi, watu wanaangalia uchumi.
Kumbe unajua Mkuu...Tupia...mkuu untk picha ya tobo au
umemaliza uzi ufungwe.wana vigezo vingi
Wanaume wa siku hizi wanapenda kuoa wanawake wanaotoka familia bora yaani mambo safi kwao.
Hapo ndipo wanawake wa kichaga wanapopata advantage.. maana wachanga wengi ni mambo safi ukilinganisha na makabila mengine.
Pia weupe wao unawafanya waonekane wazuri.
Tatu sio wavivu hivyo mishe mishe zao zinawafanya waonekane watafutaji wanafaa kufanya nao maisha
Mmeanza matangazo? Hamuoni hata aibu? Mmedoda kweli hakuna anayewatakaEti wakuu au nimimi tu ndo nayeona haya maana hadi sasa nina kadi 3 za harusi kati ya izo 2 ni za hao.
Wachaga mambo safi ni wa wapi, hao hawawezi ht kutia mwanamke mimba? Tokeni huko kuna umaskini wa kutisha. Hali ya wasichana wa kichagq ni mbaya sana mpaka mnajitangaza? Ila Tanzania ni moja muache tu ukabilaNaunga mkono hoja wanamvuto sana pili wana utu na utulivu
Naunga mkono hojawana vigezo vingi
Wanaume wa siku hizi wanapenda kuoa wanawake wanaotoka familia bora yaani mambo safi kwao.
Hapo ndipo wanawake wa kichaga wanapopata advantage.. maana wachanga wengi ni mambo safi ukilinganisha na makabila mengine.
Pia weupe wao unawafanya waonekane wazuri.
Tatu sio wavivu hivyo mishe mishe zao zinawafanya waonekane watafutaji wanafaa kufanya nao maisha
Wanavutia zile spoku za miguuni?Naunga mkono hoja wanamvuto sana pili wana utu na utulivu
Wachaga ni kabila dhaifu sana bora wapare, hawajawahi ht kuwa na wilaya, wapare walikuwa na wilaya ndani ya jimbo la Tanga. Wachaga wenyewe wabaguana, eti kuna wamachane, wakibosho, wamarangu, wauru, warombo, waold Moshi. Hilo ni kabila?:ukanda ww kaskazini makabila makubwa na yenye mali ni ya Tanga, wamasai, wairaqw, wapare, siyo hao wapiga debe wenye inferiority complexEti wakuu au nimimi tu ndo nayeona haya maana hadi sasa nina kadi 3 za harusi kati ya izo 2 ni za hao.
Wasukuma waliosoma kipindi cha ukoloni hadi cha Nyerere, wengi wao walikuwa wanaoa wanawake wa kichagga kwa sababu walikuwa wanapofika University, wasichana pekee waliokuwa wanasoma nao darasani walikuwa ni wachaggamfano Ukienda chuo kikuu UDSM ukachukua wanawake wote ukawatenga na wanaume, kisha katika hao wanawake wote wanaosoma udsm ukawatenga kikabila. utagundua wanawake wa kichaga ndio wengi kuliko makabila yote hapo udsm.
ukienda chuo cha Muhimbili napo hivyo hivyo.