Son of Gamba
JF-Expert Member
- Oct 26, 2012
- 4,720
- 6,957
Vijana wa mtaani wanasema eti mabinti wa kichagga viuno vigumu, vimekaza kama vyuma, sasa na mimi nawauliza je, mnayaweza mambo kama ya huyu Mchina??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo wanaosema "viuno" vya mabinti wa kichaga vikavu, wanawasingizia??Sikuhizi hakuna aliyebaki nyuma
Hao mabinti hawataki tu kwenda na wakati. Huu uvivu wao umetusaidia wengine kuwapata wakaka wa kichagaKwahiyo wanaosema "viuno" vya mabinti wa kichaga vikavu, wanawasingizia??
Umeonaeee Wachina nao wanawekeza kwenye mauno, hatariiiii!Kanipa maamaa.... kiunoo.... mjini msingi kiunooo heehehehehe
Mkuu ISIS hata hawa Wachina wanatengeneza pesa pia, tena ni wabunifu kweli.View attachment 779592 Viuno tumewaachia nyinyi!
Sisi tunatengeneza pesa maana mnakuja kwetu na magoti!
Chezea PESA!