Mabinti wa Kiisrael(Wayahudi) wanavutia sana

Tembosa

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2013
Posts
4,487
Reaction score
3,978
Wakuu! Nilichokigundua na kisichojulikana sana ni uzuri wa hawa warembo wakiyahudi aisee, sio maarufu sana lakini inawezekana kundi hili likawa katika nafasi ya juu sana duniani kwa mvuto.

Na moja ya sifa kubwa walionayo ni kupenda familia.
Na sio wavaa mahijabu.







 
watu wengine ni mende kweli, huwezi sifia *A* bila kuponda *B* ? kenge kabisa wewe
 

Mbona mama'ke Yesu Alayhi Salaam anavaa hijabu au yeye si Myahudi?

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…