Mabinti wa Kiisrael(Wayahudi) wanavutia sana

Nilishawai kuwa na Bint wa Russia weee acha tu ibaki story
Umenikumbusha ujanani, Russian girls are very sweet, na mara wakionja nyeusi hawataki tena kurudi kwa nyeupe. Tofauti sana na wale wa Scandinavia, Finland haina wadada wazuri kabisa.
 
Wabongo bwana yaani hamjui kama hao ni wa jinsia mbili au transgender, au mashoga..hamjui mashine ubora nyie na sura tu...khhaaaa
 
Hakuna wa kumshinda mke wangu janeth1, hata wifi zake KOKUTONA na Valentina wanajua
 
Mkuu tusifie tu hivyo hvyo bwana hata kama tunaringa,nyie kila siku sijui nani mzuri wakati dada zenu tupo
Mi nawakubali sana nyie ni wakali na bomba sana kuliko waisrael mara kumi na mbili,,wazungu hawajawazid cchte zaid ya nywele lain na ndefu.. Ila ukitaka mauno bongo,ukitaka shep bongo,ukitaka wajanja wa mapenz bongo,ukitaka ufungwe mgongon na ndevu zako bongo,ukitaka hizi kengele zetu ziwekwe kwenye kisosi zipigwe brash ni bongo tu huko israel wanasubiri... Njoo kwa wadada wazur wote wapo singida na babati na warangi,miguu mizur wahaya na wamachame we acha kabsa
 
Hahahaha daaa haya bwana ngoja nitafute mkoa mmja kati ya hao ulowataja wakaniambukize uzur
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…