Mabinti wa leo

Kumbe unajua eeeh!? Hivi kweli unakubali shetani akamate kichwa chako mpaka unamwaga maneno hayo??

Hapa unazungumzia kichwa gani mheshimiwa? Ai miini kichwa cha nani?
 

as far as ur contribution is concerned way forward is subjective. The way forward is the way u c it
 
mwanaume gani?unatumia lugha watu wasiyoelewa? kama wewe rijali kweli iweke kwa kiingereza au kiswahili......Dena achana na huyu mtu!

Mwendawazimu huyu nishaachana nae anaona sifa hana lolote f**** tu
 
Hapa unazungumzia kichwa gani mheshimiwa? Ai miini kichwa cha nani?

😛ound:😛ound:😛ound:😛ound:

Namaanisha kichwa chako babu, huyu mjukuu alikikosea adabu kichwa chako ikabidi nimuweke sawa ajue namna ya kukitunza kisiguswe na shetani
 
"Mabinti wa leo", "vijana wa leo", wanaume wa leo".... Kila zama ina "wa leo". Baba na mama yangu walikuwa "watoto, wavulana/wasichana wa leo zama zao", mimi niliitwa mtoto wa leo na ninawaita wanangu watoto wa leo... hivyo hivyo mpaka dunia itakwisha.

Jambo ambalo sioni kama ni haki ni kuwatumbukiza katika kapu moja (ingawaje baadaye ulijistukia ukasema baadhi wengi wao). Pengine kama ungelisema "Baadhi ya mabinti wa leo" ningelikuunga mkono, lakini matendo ya mtu binafsi hayawezi kuwa ya wote, au ndio "akioza samaki mmoja wote wameoza?"
 

u c! Sentens 10 umemjua mwanaume. Asante
 
huo msaada nadhani ni muafaka zaidi kwa wahanga wa gomz. But thx anyway

Eti eeh, mi nakupenda sana ujue, lakini sasa unavyofanya unanikatisha tamaa!! Hata sijakuona bado ujue, sasa nikija kukuona unanisimamishia li VX pembeni, si nitakimbia mbio. Daaa umeharibu mpango mzima ujue!!
 
Jamani nina BLACK LABEL chupa nzima kuna mwenye kuhitaji.......
 
Eti eeh, mi nakupenda sana ujue, lakini sasa unavyofanya unanikatisha tamaa!! Hata sijakuona bado ujue, sasa nikija kukuona unanisimamishia li VX pembeni, si nitakimbia mbio. Daaa umeharibu mpango mzima ujue!!
LD unataka kuniambia haupendi VX wewe basi kama haupendi nitakuja na baiskeli yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…