Mabinti wa leo

u c! Sentens 10 umemjua mwanaume. Asante

Yani kama wewe nikiunganisha mathread yako yote nilishaipata akili yako ikoje, nakuunganisha na hao wanaokusupport nawaweka kwenye chungu kimoja.

We kama unataka kuoa tulia upate mke bwana!!
 
Ujinga mtupu

[SIZE=-1]If nobody wants to sell sex, it is a crime to force anyone to do so. But when men or women do want to sell their bodies, they should have that full right without encountering punishment or discrimination. If the client behaves decently, the relationship between the sex buyer and the sex seller must be considered a purely private transaction.[/SIZE]

Love For Sale
 
Yani kama wewe nikiunganisha mathread yako yote nilishaipata akili yako ikoje, nakuunganisha na hao wanaokusupport nawaweka kwenye chungu kimoja.

We kama unataka kuoa tulia upate mke bwana!!
Hii hatari sana
 
Will be right back
 
umegeneralize mno mkuu, hata waungwana wanaodadisi watu wapo! kwa hali ya kawaida kuna individual differenceshata kwenye mambo haya, kila mtu ana mtazamo wake, ila tu nikuhakikishie kuna mabinti wazuri tu bado wapo wanaoweza kudadisi

nakushukuru mama kunda kwa busara. Kuna wachache huko juu wamelipuka hata ya gomz nafuu. Ukinisoma vizuri sijasema wote
 
umegeneralize mno mkuu, hata waungwana wanaodadisi watu wapo! kwa hali ya kawaida kuna individual differenceshata kwenye mambo haya, kila mtu ana mtazamo wake, ila tu nikuhakikishie kuna mabinti wazuri tu bado wapo wanaoweza kudadisi


Habari ya mlipohamia ayakufika uko?
 
as far as ur contribution is concerned way forward is subjective. The way forward is the way u c it

cheap arguments...if you managed to characterise women,you should be able to help them with the way forward.......
 
ndio ukome,siku nyengine tafuta mtu unayeendana nae,sio wewe mbahili afu unatafuta wadada wale wanaopenda kuspend-watoto wa mujini!ni gharama kuwatunza!....nenda katafute/kaoe kijijini huko wasio na gharama ndio wataendana na ubahili wako:mullet::A S 13:
 
Yani kama wewe nikiunganisha mathread yako yote nilishaipata akili yako ikoje, nakuunganisha na hao wanaokusupport nawaweka kwenye chungu kimoja.

We kama unataka kuoa tulia upate mke bwana!!

wanaume kama mabinti,nani aliimba huu wimbo jamani???nahisi JD,em nikumbushe dada,naupenda kweli.......:wink2:
 


Kaka/Dada nitafsirie kwa kiswahili tafadhali sijakuelewa mie kidhungu not reachable
 

majita eee hii mivuvuzela wanajifanya oooh haya, hawa hapa sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…