Mabinti wa leo

kama dena amsi hatajali itabidi nikutafutie zawadi itakayokupendeza.................!
sipotei kihivyo kila siku lazima nije kuchungulia kama Dena Amsi wangu yuko fresh.............!

Kama ni zawadi tu naruhusu sababu mie na Michelle hatuna ubaya "Sharing is Caring"

Ila isiwe kama ile uliyonipa jana
 

Hao ni mabinti unaokutana nao wewe, wengine wanakutana na mabinti tofauti kabisa...unalo!
 
nina wasi na ufahamu wako. Em rejea uliyoandika yote ulinganishe na nilichonukuu. Otherwise asanteni kwa michango yenu. Narudia tena! Common colores are black n white

ukiona hizi herufi mwishoni mwa sentensi unaelewaje...... L.O.L?
acha ulimbukeni wewe na ushalobaro......ufahamu wako ndo una matatizo makubwa......!!!!
 
Kama ni zawadi tu naruhusu sababu mie na Michelle hatuna ubaya "Sharing is Caring"

Ila isiwe kama ile uliyonipa jana

Bora manake alikuwa anatafuta visababu tu vya kutonipa zawadi itakayonipendezesha.....asante Dena wangu!!!
 
Kama ni zawadi tu naruhusu sababu mie na Michelle hatuna ubaya "Sharing is Caring"

Ila isiwe kama ile uliyonipa jana

kuepusha kukukwaza kwa hali iwayo yeyote ile..................!
ntakupatia ATM card yangu wewe ndio ukanunue hiyo zawadi...................!
mim ntanunua zako tu................!
 
ukiona hizi herufi mwishoni mwa sentensi unaelewaje...... L.O.L?
acha ulimbukeni wewe na ushalobaro......ufahamu wako ndo una matatizo makubwa......!!!!

Limeganda huyo achana nae kumbafu kabisa
 
kuepusha kukukwaza kwa hali iwayo yeyote ile..................!
ntakupatia ATM card yangu wewe ndio ukanunue hiyo zawadi...................!
mim ntanunua zako tu................!

Sawa ila umesahau kuwa jana tulivyokwenda Bank niliweka kwenye handbag yangu na hujaichukua ATM mpaka sasa

Nitaongea nae anapenda nini usijali
 
hahahah haya makombora ya humu??? hata ya mbagala yana afadhali...mie napita tu kny ambulensi in case na humu kuna majeruhi tutawabeba....noooli noooli noooooli :A S 13::wink2:
 
kuepusha kukukwaza kwa hali iwayo yeyote ile..................!
ntakupatia ATM card yangu wewe ndio ukanunue hiyo zawadi...................!
mim ntanunua zako tu................!

jamani,mwanaume si ndo huyu??? Dena umejaliwa my dear.....huu ndo urijali bwana....toa ATM watu tuka shop.....

nakushukuru mno.......tunaenda wote au nije na rafiki yangu tuende nae shopping? unatupa dereva au nije na gari yangu???:wink2::wink2:
 
hahahah haya makombora ya humu??? hata ya mbagala yana afadhali...mie napita tu kny ambulensi in case na humu kuna majeruhi tutawabeba....noooli noooli noooooli :A S 13::wink2:

Unatafutwa na Kaizer....yaani kila nikipiga simu yako haipatikani....naomba sana mtafute....l.o.l.....hapa hakuna majeruhi,makombora yameua,wako mochwari!!!
 
Sawa ila umesahau kuwa jana tulivyokwenda Bank niliweka kwenye handbag yangu na hujaichukua ATM mpaka sasa

Nitaongea nae anapenda nini usijali

acha ikae huko maana kwanza ww hutumii zaidi ya kiasi ninachokwambia.............!

kaa nayo tu baby hadi utakapojisikia kuirudisha mm nitamanage na hizi nilizo nazo kwenye wallet............!
 
Sawa ila umesahau kuwa jana tulivyokwenda Bank niliweka kwenye handbag yangu na hujaichukua ATM mpaka sasa

Nitaongea nae anapenda nini usijali

jamani,mwanaume si ndo huyu??? Dena umejaliwa my dear.....huu ndo urijali bwana....toa ATM watu tuka shop.....

nakushukuru mno.......tunaenda wote au nije na rafiki yangu tuende nae shopping? unatupa dereva au nije na gari yangu???:wink2::wink2:

acha ikae huko maana kwanza ww hutumii zaidi ya kiasi ninachokwambia.............!

kaa nayo tu baby hadi utakapojisikia kuirudisha mm nitamanage na hizi nilizo nazo kwenye wallet............!

siwaelewi!!!:rain:
 
jamani,mwanaume si ndo huyu??? Dena umejaliwa my dear.....huu ndo urijali bwana....toa ATM watu tuka shop.....

nakushukuru mno.......tunaenda wote au nije na rafiki yangu tuende nae shopping? unatupa dereva au nije na gari yangu???:wink2::wink2:

yote yako mikononi mwa Dena.................!
kama ataamua mkaikung'ute kwa mashoping ya kufa mtu ntafanyaje bana....................!
Ila Dena ninachompendea anahurumia sana senti zangu.................!
 
jamani,mwanaume si ndo huyu??? Dena umejaliwa my dear.....huu ndo urijali bwana....toa ATM watu tuka shop.....

nakushukuru mno.......tunaenda wote au nije na rafiki yangu tuende nae shopping? unatupa dereva au nije na gari yangu???:wink2::wink2:

We njoo tu bana na gari mie nitaacha yangu

Wanaume ndo kama hawa wanamakonfidensi ya nguvu wala hana wasiwasi na mimi sio wengine vocha tu ishue watu tumeachiwa ATM tena ina dola
 
acha ikae huko maana kwanza ww hutumii zaidi ya kiasi ninachokwambia.............!

kaa nayo tu baby hadi utakapojisikia kuirudisha mm nitamanage na hizi nilizo nazo kwenye wallet............!

Sawa my Love usijali nitatumia ikipungua naingia kuvuta nyingine ila usisahau basi ile ahadi yangu ya kwenda sinema Mlimani leo kuna ile picha nayoipenda sawa dear???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…