Bulletmanpaul
Member
- Feb 18, 2011
- 26
- 0
Nakuunga 100%mlezi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
:laugh::laugh::laugh:kutongoza hujui wewe ndo maana unaokutana nao wanakuchuna tu
kutongoza hujui wewe ndo maana unaokutana nao wanakuchuna tu
kama dena amsi hatajali itabidi nikutafutie zawadi itakayokupendeza.................!
sipotei kihivyo kila siku lazima nije kuchungulia kama Dena Amsi wangu yuko fresh.............!
Hawana subira. Si wadadisi. Ni rahisi kushawishiwa, hasa mwanaume akiwa mambo safi. Tamaa yao iko hivi; kama mwanaume aonavyo maungo ya kike na akili kumruka, ndivyo walivyo mabinti (wengi) waonapo mazingira ya mali. Tena zaidi gari. Siwasemi vibaya. Wanam conclude mwanaume kwa kumtazama tu. Wasiyajue ya nyuma ya pazia. Humpati mwanamke kwa tenzi za rohoni (kirahisi hata kigumu) tena bali kwa kutanguliza ulicho nacho kwanza. Wanaume wa ndoto zao ni wachache ndio maana ni rahisi kumilikiwa na mwanaume mmoja hata wakiwa watatu. Cha msingi wapate mahitaji yao 'muhimu'-saluni, vocha, usafiri, mlo, viwalo, kodi. Sex imaweza isiwe lazima. Anajua to calm hamu hata kama ni kwa kuibia, kujichua ama wao kwa wao! Si tunaona wakilana madenda laivu kwenye media? Nisiseme sana. Sie wanaume tunapenda muwe wadadisi na wenye subira. Hayo mawili ni msingi wa mengine
nina wasi na ufahamu wako. Em rejea uliyoandika yote ulinganishe na nilichonukuu. Otherwise asanteni kwa michango yenu. Narudia tena! Common colores are black n white
Hao ni mabinti unaokutana nao wewe, wengine wanakutana na mabinti tofauti kabisa...unalo!
Kama ni zawadi tu naruhusu sababu mie na Michelle hatuna ubaya "Sharing is Caring"
Ila isiwe kama ile uliyonipa jana
Kama ni zawadi tu naruhusu sababu mie na Michelle hatuna ubaya "Sharing is Caring"
Ila isiwe kama ile uliyonipa jana
ukiona hizi herufi mwishoni mwa sentensi unaelewaje...... L.O.L?
acha ulimbukeni wewe na ushalobaro......ufahamu wako ndo una matatizo makubwa......!!!!
kuepusha kukukwaza kwa hali iwayo yeyote ile..................!
ntakupatia ATM card yangu wewe ndio ukanunue hiyo zawadi...................!
mim ntanunua zako tu................!
kuepusha kukukwaza kwa hali iwayo yeyote ile..................!
ntakupatia ATM card yangu wewe ndio ukanunue hiyo zawadi...................!
mim ntanunua zako tu................!
hahahah haya makombora ya humu??? hata ya mbagala yana afadhali...mie napita tu kny ambulensi in case na humu kuna majeruhi tutawabeba....noooli noooli noooooli :A S 13::wink2:
Sawa ila umesahau kuwa jana tulivyokwenda Bank niliweka kwenye handbag yangu na hujaichukua ATM mpaka sasa
Nitaongea nae anapenda nini usijali
Sawa ila umesahau kuwa jana tulivyokwenda Bank niliweka kwenye handbag yangu na hujaichukua ATM mpaka sasa
Nitaongea nae anapenda nini usijali
jamani,mwanaume si ndo huyu??? Dena umejaliwa my dear.....huu ndo urijali bwana....toa ATM watu tuka shop.....
nakushukuru mno.......tunaenda wote au nije na rafiki yangu tuende nae shopping? unatupa dereva au nije na gari yangu???:wink2::wink2:
acha ikae huko maana kwanza ww hutumii zaidi ya kiasi ninachokwambia.............!
kaa nayo tu baby hadi utakapojisikia kuirudisha mm nitamanage na hizi nilizo nazo kwenye wallet............!
jamani,mwanaume si ndo huyu??? Dena umejaliwa my dear.....huu ndo urijali bwana....toa ATM watu tuka shop.....
nakushukuru mno.......tunaenda wote au nije na rafiki yangu tuende nae shopping? unatupa dereva au nije na gari yangu???:wink2::wink2:
Huyu Chrisette Michelle her voice sound like yours l.o.lsiwaelewi!!!:rain:
jamani,mwanaume si ndo huyu??? Dena umejaliwa my dear.....huu ndo urijali bwana....toa ATM watu tuka shop.....
nakushukuru mno.......tunaenda wote au nije na rafiki yangu tuende nae shopping? unatupa dereva au nije na gari yangu???:wink2::wink2:
acha ikae huko maana kwanza ww hutumii zaidi ya kiasi ninachokwambia.............!
kaa nayo tu baby hadi utakapojisikia kuirudisha mm nitamanage na hizi nilizo nazo kwenye wallet............!