Mabinti wa leo

Nadhani mwandishi anajua so wote wako hivyo ila ni majority vote....yaani ni sawa na mtu akisema kikwete siuo rais wangu wewe ukmkataza kwa sababu atakupa fact kuwa kikwete amechaguliwa na watu (ambao hatuna hakika km ni watz) 5mil kati ya watz zaidi ya 40mil......lakini kapata kamajority eti kwasababu waliopiga kura walikuwa 8mil.....................kwa hiyo ni kweli majority of the dadaz are like dat

nataka niseme tu kuwa sio wote wako hivyo........wako mabinti wanaojiheshimu na hawako after things as u hv mentioned
 

Inawezekana kumpata mdada bila pesa sema basi tu jamaa hajui mbinu
 

Mwambie usimfiche mwaleze ajitambue.

Huyu jamaa kakosa alichotaka ndo maana kapandikiza chuki ATAJIJUUUUUUUUUUUUUUUU
 
kumbe ndvyo walivyo hawa mabinti kumbe ndo zao okay kumbeeeee sawa
 
Mwambie usimfiche mweleze ajitambue.

Huyu jamaa kakosa alichotaka ndo maana kapandikiza chuki ATAJIJUUUUUUUUUUUUUUUU

nani anataka mwanaume goal keeper,mwenye chuki?wewe wataka kudaka tu eeeeh,sisi hatutaki type hiyo!!!
 
kumbe ni kweli, duh! Majita tutafute hela aisee. Lakini kama ni kweli kinachowafurisha kitu gani? Nimesema wanawake wanapenda HELA. Mnachukia tukisema hivyo. Halafu mnasema tutafute hela. This is crazy and ridiculous

personally sijachukia kuhusu hilo la hela,hayo mengine kweli si kweli,nakushauri ongeza bidii kwenye kutafuta hela!!!
 
aaaaaaaaaahhhhhhhh!! shit!! hivi mama Terry now dayz yuko wapi? laiti angekusikia ungemtambua yy ni nani! hakuna mwanadamu aliye sahihi, hata nyie wanaume mnamapungufu yenu mengi tuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!
 
nani anataka mwanaume goal keeper,mwenye chuki?wewe wataka kudaka tu eeeeh,sisi hatutaki type hiyo!!!

Umeonaaa huyu jamaa mpuuzi sana halafu sio makini kabisa hovyoooooooooooooooooooooo

Wale wale Mariooooooooooooooooo
 
Inawezekana kumpata mdada bila pesa sema basi tu jamaa hajui mbinu

shoka lisilo na mpini halichanji kuni,huna hela na kushawishi huwezi,itakuwa ngumu muambie:blah::blah::A S 13:
 

Jamaa yupo sawa kabsaaa, na kumbuka hajageneralize., amesema wengi wao..)
Afu mkuu hiyo red sifa sio ngeni, kitaa ipo, kama ni wewe then hongera mkuu... :msela::msela:
 

cpu nifundishe mipasho miwili na matusi manne.
 

Aisee!!!!!!:rain::rain::rain:
 
cpu nifundishe mipasho miwili na matusi manne.

Mi Mipasho nilipataga ZERO pamoja na kwamba mwalimu wangu alikuwa Khadija Kopa, na Mkuu wa shule alikuwa Nasma Khamis Kidogo (RIP)
Mwalimu mzuri wa matusi naambiwa alikuwa Maralia Sugu, mimi najua mateso tu
 
Hapa naona kuna makombora yanarusha ya hatari kuliko hata yale la Gongolamboto!
 



Sasa hapo kazi ndio ipo, na wanaume nao wameanza kushtuka, hakuna anayetaka kuoa mpika ubwabwa, vijana wengi siku hizi hasa wasomi wanatafuta wanawake wanaojiweza!
 
Sasa nyie watu mbona hamniambii ahsante kwa kazi niliyowafanyia?:A S 13::A S 13::A S 13:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…