nataka niseme tu kuwa sio wote wako hivyo........wako mabinti wanaojiheshimu na hawako after things as u hv mentioned
orodha ya wanawake wa Liyumba ndo sample tosha ya kusema mabinti wa kileo wanataka mambo mazuri huku kazi hawataki?wangapi wanafanya kazi na tunao vyuoni wanajiendeleza?tatizo lenu umaskini unawasaumbua,tafuteni hela hakuna anayetaka mwanaume wa chini!
hamna kitu kibaya kama kukosa kitu fulani kwasababu fulani unayoona si sahihi,inamuuma jamaa,kataka demu matawi hana hela,hasaidiki hata kwa sala,yeye akatafute hela tu,ndo uanaume ati,si kuja na umbeya umbeya,uzandiki zandiki,ufitini fitini,uongo uongo wa kishamba,una sura nzuri huna hela usaidiweje,na kwa namna alivyoandika inaonekana si mtu mzuri,akikosa chuki yake ni balaaaaaaaa,ndo life dogo kuna kukosa na kupata!!!!
Mwambie usimfiche mweleze ajitambue.
Huyu jamaa kakosa alichotaka ndo maana kapandikiza chuki ATAJIJUUUUUUUUUUUUUUUU
kumbe ni kweli, duh! Majita tutafute hela aisee. Lakini kama ni kweli kinachowafurisha kitu gani? Nimesema wanawake wanapenda HELA. Mnachukia tukisema hivyo. Halafu mnasema tutafute hela. This is crazy and ridiculous
nani anataka mwanaume goal keeper,mwenye chuki?wewe wataka kudaka tu eeeeh,sisi hatutaki type hiyo!!!
Inawezekana kumpata mdada bila pesa sema basi tu jamaa hajui mbinu
Saahani, huenda nigusa topiki nisiyofahamu. Nina binti wawili warembo kama mama yao na kila mmoja ana gari yake ingawa ile Taurus na ya mkubwa ni ya mwaka 2005 ukilingnaisha na hii ya mdogo wake ya mwaka 2009. Karibu kila siku baada ya chakula cha jioni huwa tunajadili mabmbo mbali mbali yalitamba kwenye news siku hiyo tukichanganya philosophy, politics, economics, science & technology, medicine na mengineyo mengi. Unataka kuniamusha kuwa mabinti hawa hawana subira ya kudadisi mwanaume yoyote mweye gari? Nafikiri umewaonea watoto wa kike wengi kwa matazamo wako huo. Sidhani kama wote wako vile
mshikaji naona kama unawaimbia mipasho flani hivi wadada wa JF . . !??? Au kwa vile umegundua hakuna mdada JF anaejua mipasho??
Ngoja nitume maombi kwa Shossi atunge shairi ampe mdada aje ajibu hapa.
Halafu naona kuna kadalili ka mabinti wa siku hizi (kama ulivyowataja) wanakukimbia sana hata wiki humalizi nao kila unapojaribu??!! Mtafute hashycool coz yeye ni dokta bingwa wa mbinu za kutokea mabinti kiutaalamu, sio unawatokea tu " OOOH MIMI NATAKA WEWE NIKAKUCHIMBE SHIMO" hapo kaka watakukimbia tu hata kama ulisoma nae la kwanza hadi la saba
shoka lisilo na mpini halichanji kuni,huna hela na kushawishi huwezi,itakuwa ngumu muambie:blah::blah::A S 13:
ningejiua kupitiwa na mtu kama wewe,nani anataka kuchafuliwa na mwanaume asiyekuwa na hela ya sabuni baada ya shughuli?nilikuokota siku moja nikakupa lift ulikuwa hujielewi baada ya kushughulikiwa na watu wa jinsia yako kwa kutembea na mke wa mmoja wao,ndo maana nasisitiza acha ushalobaro,katafute hela uende mjini,we unaoga kila siku na mujini huendi kazi :blah::blah::blah::blah::A S 112::A S 112::A S 112:
Duuh sasa hapa unanishushua au :A S 13:
cpu nifundishe mipasho miwili na matusi manne.
orodha ya wanawake wa Liyumba ndo sample tosha ya kusema mabinti wa kileo wanataka mambo mazuri huku kazi hawataki?wangapi wanafanya kazi na tunao vyuoni wanajiendeleza?tatizo lenu umaskini unawasaumbua,tafuteni hela hakuna anayetaka mwanaume wa chini!
Sasa nyie watu mbona hamniambii ahsante kwa kazi niliyowafanyia?:A S 13::A S 13::A S 13:
Sasa nyie watu mbona hamniambii ahsante kwa kazi niliyowafanyia?:A S 13::A S 13::A S 13: