[/COLOR]
Sasa hapo kazi ndio ipo, na wanaume nao wameanza kushtuka, hakuna anayetaka kuoa mpika ubwabwa, vijana wengi siku hizi hasa wasomi wanatafuta wanawake wanaojiweza!
sIJAONA KAZI, zaidi ya tishio la kutaka kupiga BAN CPU :rain:Sasa nyie watu mbona hamniambii ahsante kwa kazi niliyowafanyia?:A S 13::A S 13::A S 13:
na wanawake tumeshtuka wengi wetu hatutaki kukaa home kupika ubwabwa,tunajiendeleza hata kwa kuchelewa,na si tujiweze!!!
Dyslexia uko taka dume yenye hela wewe??
sIJAONA KAZI, zaidi ya tishio la kutaka kupiga BAN CPU :rain:
ninayo CPU ndo inaniendeleza niweze lea watoto in case hayupo,imenisomesha na kuniondoa kwenye u-house wife sasa kwanini niwachukie bana,dume likiwa na hela na roho safi na dhamira muzuri kwa muke hakuna bahati kama hiyo!
ebana dah mjita asprin umefanya madude gani tena mwana?
Babu hebu angalia nimeyaondoa yale maneno yooooote yaliyotaka kuleta Fita ni Fita Mura!
Hii ni sehemu ya amani kupendana na kuheshimiana
SI KUTUKANANA
You have been Warned!
Okey bas :wink2:
Ha ha ha ha ha ha ha
Babu bana, sasa mimi nimetukana nani?? :twitch::twitch::twitch:
Mi sijakuelewa kabisaaaaaa hapo ktk red
We Dyskkeskxia bado hujaona kazi nliyoifanya.ipi tena kaka?:A S 13::A S 13:
Kazi gani? Umempiga BAN?
Nimewaondoleeni maneno yenu ya chooni,
Nimebakiza ya sebuleni.
Pendaneni, ishini kwa amani.
Nyie wote mmezaliwa na wanawake.........Pendaneni!
haina shanapa babu ila mwambie mjukuu wako i got 24 inches rims spinning clockwise and guess what! i earned them.
We Dyskkeskxia bado hujaona kazi nliyoifanya.
!
Hehehehe...ile ilikuwa si yako muheshimiwa
Wewe Umekuwa NOTIFIED!
Mpigieni babu makofi tafazali!
haina shanapa babu ila mwambie mjukuu wako i got 24 inches rims spinning clockwise and guess what! i earned them.
Good girl! I hope na hapa ntakamata ingine!nimeiona kaka,na nimekupa thanks zako kama nne na kujirekebisha juu!
Good Boy! Your BAN is uplifted.....Heheheee...ulikuwa umepigwa ban la kisirisiri.....:A S 41: kwa :A S 41: pwa :A S 41: kwa :A S 41: pwa :A S 41: kwa :A S 41: pwa :A S 41: kwa :A S 41: pwa :A S 41: kwa :A S 41: pwa :A S 41: kwa :A S 41: pwa :A S 41:kwa :A S 41: pwa :A S 41: kwa :A S 41: pwa :A S 41:
Excellent!....Huo sasa ndio uungwana!bravo!:wink2: