Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,478
- 3,659
- Thread starter
-
- #61
Good girl! I hope na hapa ntakamata ingine!
Good Boy! Your BAN is uplifted.....Heheheee...ulikuwa umepigwa ban la kisirisiri.....
Excellent!....Huo sasa ndio uungwana!
Babu yaani nakwambia tena WALLAAAAAAAAAAAAAAAAAH TENA BISMILAAAAAH NA MTUME TENA mi ningekurudishia BAN 7 mfululizo hata mapomu ya Gongo la Tomb . . . . aaaissssssssssh samahani Gongo la Mboto. Tena ningeBAN hadi server yenu isichangiwe :wink2:
Babu yaani nakwambia tena WALLAAAAAAAAAAAAAAAAAH TENA BISMILAAAAAH NA MTUME TENA mi ningekurudishia BAN 7 mfululizo hata mapomu ya Gongo la Tomb . . . . aaaissssssssssh samahani Gongo la Mboto. Tena ningeBAN hadi server yenu isichangiwe :wink2:
kuteleza kwingine bana,mi sipo:hand::hand:
Hebu nichagulie adhabu ya kumpa huyo mtu hapo juu!
Apewe mjukuu mmoja wa babu . . . :bounce::bounce:
Hebu nichagulie adhabu ya kumpa huyo mtu hapo juu!
huyo atakuwa na hamu tu,ndo maana kateleza hivyo,asaidiwe tu kaka!
whats all this here?
😛op2:😛op2:😛op2:
Hiyo inaitwa JUKUUZ CALLING you have been warned!!
Halafu we si nlikwambia unitamkie jina lako kwa lugha ya Nyerere? Haya moja......mbili.......tatu......Jinaaaaaaaaa Tamka!
Naanza kuuzoea hii kauli kama mabomu ya Mbagala na Gongo la Tom . . . . . ohoooooo! Sasa hii ni makusudi!:A S 13:
huyo atakuwa na hamu tu,ndo maana kateleza hivyo,asaidiwe tu kaka!
daizi leki shia,umeshanifahamu?
Wewe unafaa kweli kweli, sasa ngoja niku :clap2:
naomba uni :A S 101: ili niondoe mshawasha
Daizilekshia......hili jina ukilitamka kama una njaa lazima ujing'ate ulimi.......
GoodbyeShoka lisilo mpini halichanji kuni Goodbye
poa,nitaku call baada ya mapishi,uje tule then nikutibu!:wink2::hand: