Mabinti wa leo

We babu na wajukuu zako nitawaripoti kwa inv mnaharibu flow ya muktadha
 
kumbe umeona? Ufisadi si kwenye siasa tu. Tena kumbe wanasiasa walikopa hilo neno huku

Babu kasema hapa ni UPENDO TU sio sehemu ya kunyoosheana vidole mpaka mtoboane mimacho
 
La la la la la la unaharibu jina la mjukuu HADHARANI??? :A S 13:
Zis is pyua ABYUZIIII

Babu mim niko salama salimin ndio maana mjukuu wako haoni tabu kunikubalia
Kila mtu yuko salama kwa mujibu wa maneno

Nitaweka na vilainisho kidogo, ikiwa kavu sana moto utawaka
Eti?

moto utawaka kweli?tutazima na maji na mchanga!
Ohoooooo!

Am out hapa hata nifanyeje huyu mjukuu kashakamatwa na hii Processing Unit!
 
We babu na wajukuu zako nitawaripoti kwa inv mnaharibu flow ya muktadha

Somo lilishafikiwa muktadha, thread ikageuzwa Chat Room kwa hisani ya watu wa Marekani kitengo cha Gongo La Mboto!

Hivi Gongo na Mbali wapi Mboto?
 
We babu na wajukuu zako nitawaripoti kwa inv mnaharibu flow ya muktadha

Plse fungua jicho ndugu, yaani swala amchimbe mkwara chui kwamba atamripoti kwa chui???!!!:A S 13::A S 13:
 
unataka kumaanisha nimedanganya au?ulete vithibitisho kwa maandishi ofisini kwangu!:decision:

LOL koku unaniwekea maneno mdomoni,,,,,nimeomba mwongozo apo....ulimaanisha nini?
 
Plse fungua jicho ndugu, yaani swala amchimbe mkwara chui kwamba atamripoti kwa chui???!!!:A S 13::A S 13:

Hujamaliziz a vizuri 😛lse fungua jicho ndugu, yaani swala amchimbe mkwara chui kwamba atamripoti kwa chui MWENYE NJAA???
 
RF karibu nyumbani kwangu, kuna house boy atakuwa anakupikia, kukufulia na ukitaka kutoka na washikaji zako nitakupa pesa, chochote unachotaka utapewa kama huna gari nitakupa ya kwangu moja utembelee, kama huna nguo nzuri nitakupa hela ukafanye shopping, kama huna blackberry nitakununulia Bold!!

Sawa RF, ili uone tofauti kati ya hao mabinti uliokutana nao na sisi wengine.
 

Ndo unaamka? Mjadala ushafungwa saa miiiiiiiiiingi! Hapa tupo chat ruum sasa!
 
hii thread ina maneno ya ukweli ila haiweki way forward,unataka sisi wanawake tufanyeje raia fulani?kila mtu ana atakacho kwa mwanaume,sasa mwanamke akiona atakacho asishawishike jamani,kushawishika kirahisi ndo kupi?kuhusu kukubali mwanaume mmoja wote watatu,hiyo ni uamuzi wa mtu,wapo wanawake wanajiweza tu ila hawaoni shida kuwa wanne kwa mwanaume mmoja as long as wanaridhika naye.....hilo la wanaume kuwa wadadisi na wenye subira,nafikiri unaota au huwaelewi wanaume walio wengi.....wanakurupuka vibaya mno....wanachotaka ni ........,mambo ya historia,hayawahusu sana unless anataka kuoa!!!! you seems bitter,calm down my brother!!!:wink2:
 

Mwingine huyu katoka kuamka...

Michelle babu loves you........ Nimekumiss mpaka kwenye kucha...... hebu njoo zikate please
 
Mwingine huyu katoka kuamka...

Michelle babu loves you........ Nimekumiss mpaka kwenye kucha...... hebu njoo zikate please

Hajanywa hata chai jamani, alikesha ktk maombi jana usiku
 
Hajanywa hata chai jamani, alikesha ktk maombi jana usiku

Adiksheni ya JF...mtu analala na laputopu...usingizi ukikatika analog in...akiamka asubuhi kabla hajapiga mswaki, ana log in!
 

Subira yanini wakati hata wanaume wenyewe hamtabiriki?
Nikudadisi inisaidie nini wakati mmeshajiandaa kudanganya?
Sio rahisi kushawishiwa kama udhanivyo.
Kumbe nanyi mnajijua kua mkiona maungo yetu akili zinawaruka? Sasa kwanini mshangae akili zikituruka kwa Pesa?
Bora sisi Pesa kuliko nyie maungo ya mwili,nani yupo pabaya kati yetu?
Tenzi zinisaidie nini,najua kesho utanitenda tu hata kama uliniimbia mashairi matamu.
Mnaona tukilana denda kwenye media huwaoni wanaume wenzako wanaoolewa?
Sorry,nimejaribu kutumia lugha uliyotumia.
Iwewajumuisha wadada as if wote wanafanya haya uliyoyasema ila sikua na lengo la kujumuisha wanaume wote.
 

Hii kazi inafanywa na wajukuu tu, sio mahausi boy
hebu nyenyekea vizuri kwa babu, alaaaa!
 
Mwingine huyu katoka kuamka...

Michelle babu loves you........ Nimekumiss mpaka kwenye kucha...... hebu njoo zikate please

Michelle loves you Babu......Michelle miss Babu
Michelle was surprised yesterday,but when Babu kno the truth,Babu will faint.....Michelle is Babu’s friend long time.....!!!
 
Hii kazi inafanywa na wajukuu tu, sio mahausi boy
hebu nyenyekea vizuri kwa babu, alaaaa!

Aisee kijana ahsante kwa kujali maslahi yangu.

Akchuale nna mpango wa kukuteua uwe babu n'dogo!
 
Hii kazi inafanywa na wajukuu tu, sio mahausi boy
hebu nyenyekea vizuri kwa babu, alaaaa!

Unajua usingizi haujaisha vizuri lakini naona, huyu hatakiwi mjukuu wa kike hata kidogo. Nikimwachia pesa ya kununulia mboga za majani gengeni au mbogamboga atamwibia!!
 
Wanawake huwa wakiangalia muonekano wa mwanaume wanaweza waka-generalise kuwa yuko hivi au anakitu fulani wakati sio, sometimes pia utanashati wa mwanaume unachangia vile vile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…