The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
Ole wako uende ukoMichelle loves you Babu......Michelle miss Babu
Michelle was surprised yesterday,but when Babu kno the truth,Babu will faint.....Michelle is Babu's friend long time.....!!!
Hajanywa hata chai jamani, alikesha ktk maombi jana usiku
Wanawake huwa wakiangalia muonekano wa mwanaume wanaweza waka-generalise kuwa yuko hivi au anakitu fulani wakati sio, sometimes pia utanashati wa mwanaume unachangia vile vile
Michelle loves you Babu......Michelle miss Babu
Michelle was surprised yesterday,but when Babu kno the truth,Babu will faint.....Michelle is Babu's friend long time.....!!!
Aisee kijana ahsante kwa kujali maslahi yangu.
Akchuale nna mpango wa kukuteua uwe babu n'dogo!
Babu unataka kutolewa meno ya mbeleMwingine huyu, katoka kupiga mswaki!
Wanawake huwa wakiangalia muonekano wa mwanaume wanaweza waka-generalise kuwa yuko hivi au anakitu fulani wakati sio, sometimes pia utanashati wa mwanaume unachangia vile vile
Nafikiri muda si mrefu nitaripoti abusi l.o.lCant wait to be surprised........Hebu do the needful basi?
Ole wako uende uko
Sio kweli fainest, siku hizi ukiongea na mwanaume sentensi ya kwanza mpaka ya kumi lazima utajua tu, huyu mtoto wa kwenye taulo, huyu mtoto wa mkulima na amejifunza maisha anajua anakotoka na anakokwenda, huyu anasubiri baba ake afe amwandikie urithi wa nyumba, huyu anajua maisha ni kukomaa na kutumia akili ktk kupangilia na kufanya mambo, na huyu yeye anaweza mwisho hapo puani kwake na hapo kwenye third leg!!
Mnisamehe!!!!
wapi tena kaka?hadi Babu humuamini??
Hakuna kwenda nimesema, wala huyo Babu sitaki kumsikiawapi tena kaka?hadi Babu humuamini??
Kwahiyo kumbe kibabu umeishamjua tayari dah babu wa watu amekwisha
Kwahiyo kumbe kibabu umeishamjua tayari dah babu wa watu amekwisha
It will happen naturally,one day yes,ha ha ah ahaaaaaaa,jana nimecheka sana,sikujua unaweza mpenda mtu kumbe mnajuana bana.....Cant wait to be surprised........Hebu do the needful basi?
Hakuna kwenda nimesema, wala huyo Babu sitaki kumsikia
Niambie SHAROBAROAisee we dogo.........!
It will happen naturally,one day yes,ha ha ah ahaaaaaaa,jana nimecheka sana,sikujua unaweza mpenda mtu kumbe mnajuana bana.....
Yupo yupo coming soon...............Miss u
AD..
AfroDenzi kapotelea wapi?