Mabinti wa leo

Michelle loves you Babu......Michelle miss Babu
Michelle was surprised yesterday,but when Babu kno the truth,Babu will faint.....Michelle is Babu's friend long time.....!!!
Ole wako uende uko
 
Wanawake huwa wakiangalia muonekano wa mwanaume wanaweza waka-generalise kuwa yuko hivi au anakitu fulani wakati sio, sometimes pia utanashati wa mwanaume unachangia vile vile

Mwingine huyu, katoka kupiga mswaki!
 
Naunga mkono hoja hii 10000000000000000%

Mioyo ya Mabinti Woooooooooooooooooote imebadlika sana!!!!!!!

As long as Wallet ipo safi (max $300), unaweza kuchukua binti yeyote yule na kwenda naye guest!! Shame!!
 
Michelle loves you Babu......Michelle miss Babu
Michelle was surprised yesterday,but when Babu kno the truth,Babu will faint.....Michelle is Babu's friend long time.....!!!

Cant wait to be surprised........Hebu do the needful basi?
 
Aisee kijana ahsante kwa kujali maslahi yangu.

Akchuale nna mpango wa kukuteua uwe babu n'dogo!

Duuh, aisee zinga la zali mwanangu, kama vile nimeteuliwa :angel:
ngoja ni😛ray2: sana
 
Wanawake huwa wakiangalia muonekano wa mwanaume wanaweza waka-generalise kuwa yuko hivi au anakitu fulani wakati sio, sometimes pia utanashati wa mwanaume unachangia vile vile

Sio kweli fainest, siku hizi ukiongea na mwanaume sentensi ya kwanza mpaka ya kumi lazima utajua tu, huyu mtoto wa kwenye taulo, huyu mtoto wa mkulima na amejifunza maisha anajua anakotoka na anakokwenda, huyu anasubiri baba ake afe amwandikie urithi wa nyumba, huyu anajua maisha ni kukomaa na kutumia akili ktk kupangilia na kufanya mambo, na huyu yeye anaweza mwisho hapo puani kwake na hapo kwenye third leg!!

Mnisamehe!!!!
 

Kwahiyo kumbe kibabu umeishamjua tayari dah babu wa watu amekwisha
 
Cant wait to be surprised........Hebu do the needful basi?
It will happen naturally,one day yes,ha ha ah ahaaaaaaa,jana nimecheka sana,sikujua unaweza mpenda mtu kumbe mnajuana bana.....
 
It will happen naturally,one day yes,ha ha ah ahaaaaaaa,jana nimecheka sana,sikujua unaweza mpenda mtu kumbe mnajuana bana.....

Hahahaha....wewe bana hebu acha kunirusha roho.......ntakapasua haka kalaputopu ka mkoloni angu lol!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…