Mabinti wa Singida

slmmfm

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2014
Posts
304
Reaction score
65
Kuna wasichana wamejaliwa uzuri tuache utani.

Kila ninaemuona mzuri anasema kwao Singida.

Hallow lazima nikaoe singida mwakani.
 
Ushasikia 'hayo maneno walisema wazee wa zamani, ukiwa mjanja.....'
 
Mkuu unaowa mkoa ama unaowa mke...?
 
Singida kuna vitu mang’anyu bwana... mtoto mweupe huitaj tochi gizan tena hakuna mchina kilicho vimba kimevmba chenyewe
 
Mie emi wangu wala atoki singida ila ni mzuri na nampenda sana love you popote ulipo.ila ww kila la kheri uko singida
 
Kuna waschana wamejaliwa uzuri tuache utani, kila ninaemuona mzr anasema kwao singida.
Allow lazma nikaoe singida mwakani

Papuchi zao wajua lakini zilivyo? Huwa hawataki uziguse kwa mkono zaidi ya dushe tu!


Sent from my iPad using JamiiForums
 
nimeishi singida sana,miguu ya wadada ni kama chelewa, na wengine ni wembamba kama hawali. halafu wana roho mbaya sana wanyaturu, labda wanyiramba kidogo. au labda ukute muiraq anayeishi singida.
 
Ni noma wakuu
Haswa hayo maeneo Fulani Ndio msiseme
Physically wamejaaliwa Rangi kifua na huko chini utatamani uweke ndan sku ya kwanza tuu
 
Utafute element kabisaa si unamuona lulu toto la kisingida lilichomfanyia kanumbaa..chek wema sepetu kisuraaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…