M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tukumbushe madaHii video ina uhusiano na mada?
Mkuu uko sahihi sana, wanalilia kitu wasicho na uwezo nacho, wengi wanatafuta status tuu kwenye jamii waonekane ni wake za watuMnakesha kwenye nyumba za ibada kuomba waume wa kuwaoa. Ila mkishaolewa mnazidisha kiburi, umalaya, uvivu na uchafuzi wa mwili. Hiyo NDOA itadumuje?
Hujaoa aliyekesha akimlilia Mungu apate mume.Mnakesha kwenye nyumba za ibada kuomba waume wa kuwaoa. Ila mkishaolewa mnazidisha kiburi, umalaya, uvivu na uchafuzi wa mwili. Hiyo NDOA itadumuje?
WadangajiNaunga mkono hoja, yaan siku izi ukiingia tu ktk mahusiano yaan mwanaamke anaanza kuomba hela kama mchwaa
Mashangazi ndo mpangoKwa nini wanwake ndio wanaolilia ndoa wakati sisi wanaume hatulilii?
Mashangazi ndo mpann
Uko sahihi, a win is a winMashangazi ndo mpango
Wanafukuzana na umri mkuu. Mwanamke ana miaka michache ya kutamba kwenye dating pool ukilinganisha na mwanaumeKwa nini wanwake ndio wanaolilia ndoa wakati sisi wanaume hatulilii?
Huyo anaekuomba hela ww sio type yake ...tafuta understanding girlfriend 🤤Naunga mkono hoja, yaan siku izi ukiingia tu ktk mahusiano yaan mwanaamke anaanza kuomba hela kama mchwaa
usitoe hukumu ya jumlaMnakesha kwenye nyumba za ibada kuomba waume wa kuwaoa. Ila mkishaolewa mnazidisha kiburi, umalaya, uvivu na uchafuzi wa mwili. Hiyo NDOA itadumuje?
Hamna hela 😄nyieKwa nini wanwake ndio wanaolilia ndoa wakati sisi wanaume hatulilii?
Km wewe umekutana na kimeo mkuu ni wewe,sio wote🤣Mnakesha kwenye nyumba za ibada kuomba waume wa kuwaoa. Ila mkishaolewa mnazidisha kiburi, umalaya, uvivu na uchafuzi wa mwili. Hiyo NDOA itadumuje?
🤣🤣Hamna hela 😄nyie
99.9 % ndo walivyoWadangaji