Mabinti wengi wa umri wa miaka 30-35 ambao hawajaolewa bado hadi sasa wanapambana zaidi kupata watoto, kulikoni?

Mabinti wengi wa umri wa miaka 30-35 ambao hawajaolewa bado hadi sasa wanapambana zaidi kupata watoto, kulikoni?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Nini hasa huchochea hali hii ambayo pia wengi wao hufanikiwa kupata ujauzito kwa tabu sana, lakini wengine huhangaika kila mahali na kuambulia patupu, na hatimae hujikatia tamaa kabisa?🐒

naskia huruma sana.

Mungu Ibariki Tanzania
 
Changamoto za uzazi zilianzia kwa Hana au nadhani Ana pale kwenye kitabu Cha Samweli ni miaka mingi
We umeona wanaohangaika ila amini wapo wengi sana wasiohangaika ni ukigusa imo na maisha yanaendelea
Kwa wanaohangaika sababu zitakuwa zile zile
Lishe na afya ya uzazi isio nzuri
 
Nini hasa huchochea hali hii ambayo pia wengi wao hufanikiwa kupata ujauzito kwa tabu sana, lakini wengine huhangaika kila mahali na kuambulia patupu, na hatimae hujikatia tamaa kabisa?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Afadhali mkuu leo umachange topic kwa afya yako! Masiasa bana yanatia stress sana mara unajikuta una mapressure na masukari kisa kumchukia Lissu wakati mwenzio tabasamu tele, na ndio career yake, we unaumia unatesa na familia yako!😎😛

Kweli hawa dada zetu wanahangaika sana lakini ujue ndio natural selection na natural processes zinaendelea, mwili wa mwanamke unakua mature na active kuzaa kuanzia miaka 16 hadi 25 then unaanza kupungua uwezo na kuna wanapungua kwa speed kubwa na ndogo so with time inakua ni game of chance then wanaelekea kwenye menopause!

So walioacha kutumia muda huo wanakuta washapungua uwezo na maumbile yashaanza kusinyaa halafu na hormone husika zimepungua sana au hazibalance tena inakua kila siku kwa daktari tu afanye manipulation kwa madawa na ufundi mwingine wa kitabibu, then wengine wnakua na vivimbe vya size tofauti tofauti kwenye kizazi vinavyotokana na mayai yaliyokufa na kushindwa kutoka kabisa yakabaki nayo pia yanaharibu mazingira ya kupata uzazi so inakua complicated zaidi!
 
Back
Top Bottom