Mabiringanya ya nazi

Mabiringanya ya nazi

Mie nna hilo tatizo kwenye Kabeji (Sijui kama nimepatia jina) tangu mdogo kabisa sielewani nayo kabisa, japo sasa hivi najitahidi kuzipenda na nnaona maendeleo yanaridhisha!!!!!

Kachumbari ya cabbage kwa pilau acha tu utamu wake
 
mwalimu unakosa mengi hasa kwenye kisamvu...kisamvu cha nazi tena kichanganywe na vijimbaazi kwa mbaaaali..lol ntakula mpaka kijungu kilicchopikiwa kipasuke. jitahidi utazoea kidogo kidogo. mie kunde na magimbi mhhh nala tu ila hayapandi katu

Hahahaah magimbi nliKua sipendi basi mama akawa anatupikia ya nazi alafu anapikia na supu ya samaki tasi au changu ilokolea ndimu alafu anaweka na nyanya (tomatoes) weee unakula mpaka unavimbiwa mambo ya ramadhani hayo
 
mwalimu unakosa mengi hasa kwenye kisamvu...kisamvu cha nazi tena kichanganywe na vijimbaazi kwa mbaaaali..lol ntakula mpaka kijungu kilicchopikiwa kipasuke. jitahidi utazoea kidogo kidogo. mie kunde na magimbi mhhh nala tu ila hayapandi katu
Mmh ntajaribu kupika cha hivo nione teh
 
Mie ni biringani, cabbage na kisamvu hizi mboga hapana kwakweli, tena mara mia na cabbage siku hizi ndo nakula kula zamani nlikua sigusi kabisa
Mi Nlikuwa sili vitu kibao, ila siku hizi labda sili sumu tu. Lol


Hilo cabbage ndo nafanya mchemsho haswa. Zuri kwa diet. Mabilinganya napenda kupika na maganda yake.
 
Back
Top Bottom