Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Kama sio dunia hii ni dunia ipi hiyo?Messi na ronardo ndio kiboko.
Hii hata ukitumia fact bado ngoma inakuwa ngumu maana kila mtu ana record zakutosha..
Lakini mwisho wa siku messi anabaki kuwa messi na huwezi kimfananisha na mambo ya kipuuzi..
Kama magoli aloyoyafunga jana hayajawahi kutokea dunia hii