Mabomba ya maji kutoa matope; Media zimenyamaza kimya!

Mabomba ya maji kutoa matope; Media zimenyamaza kimya!

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Media ya Tanzania haisaidii jamii kazi yake kubwa ni uchawa tu!

Yaani huku Tegeta maji yana matope kabisa lakini hakuna hata media moja inajadi badala yake wanajali Msigwa na upuuzi mwingine tu wa kichawa. 🙉
 
Media ya Tanzania haisaidii jamii kazi yake kubwa ni uchawa tu!
Duh...!. This is not fair at all!
Yaani huku Tegeta maji yana matope kabisa lakini hakuna hata media moja inajadi badala yake wanajali Msigwa na upuuzi mwingine tu wa kichawa. 🙉
Utusamehe bure, media ya Tanzania hatutumii maji ya bomba, tunatumia ya visima, hivyo wala hatujui maji ni tope!.
Asante sana kuripoti, tutaifanyia kazi, pia kuangalia kama kuna shabu za kutosha.
P
 
Media ya Tanzania haisaidii jamii kazi yake kubwa ni uchawa tu!

Yaani huku Tegeta maji yana matope kabisa lakini hakuna hata media moja inajadi badala yake wanajali Msigwa na upuuzi mwingine tu wa kichawa. 🙉
Siku hizi media ni wewe mwenyewe.

Piga video clips, ongea matatizo yaliyopo, rusha kote, ita trend na wengine watapata content.

Dunia ya leo usingoje kufanyiwa, ukitaka media zinazojulikana tayari inabidi uwalipe kama anavyofanya mpina.
 
Duh...!. This is not fair at all!

Utusamehe bure, media ya Tanzania hatutumii maji ya bomba, tunatumia ya visima, hivyo wala hatujui maji ni tope!.
Asante sana kuripoti, tutaifanyia kazi, pia kuangalia kama kuna shabu za kutosha.
P
 

Attachments

  • IMG_0100.mov
    32.2 MB
Siku hizi media ni wewe mwenyewe.

Piga video clips, ongea matatizo yaliyopo, rusha kote, ita trend na wengine watapata content.

Dunia ya leo usingoje kufanyiwa, ukitaka media zinazojulikana tayari inabidsi uwalipe kama anavyofanya mpina.
 

Attachments

  • IMG_0100.mov
    32.2 MB
Duh...!. This is not fair at all!

Utusamehe bure, media ya Tanzania hatutumii maji ya bomba, tunatumia ya visima, hivyo wala hatujui maji ni tope!.
Asante sana kuripoti, tutaifanyia kazi, pia kuangalia kama kuna shabu za kutosha.
P
Pasco unajua kuna namna unajua kila kitu ila unatumia knoweledge yako kuwahadaa watu
1.shida ya hayo maji ni hayawekwa Aluminium sulphate na unajua...
2.nimejaribu kuloby mara nyingi nipate hiyo tender ila kuna ukiritimba sijawahi ona kuna kampuni moja tu imepewa hiyo tenda
3.kama maji yana mayope maana shabu kama unavyoiita haijafika au haijaagizwa na hili halijaanza leo
4.wadada wote wa mjini wana shabu ndani...(aluminium sulphate) wanapata wapi? Najua unajua kazi yake kwa wanawake
5.hapo sijaweka base za kuineutralise....ila shida yenu ukiritimba ..product yenyewe ina profit margin ndogo
6.huu ni uzembe mkubwa sana yaani genchi na siasa mnaacha wananchiwanywe maji ya matope
 
Pasco unajua kuna namna unajua kila kitu ila unatumia knoweledge yako kuwahadaa watu
1.shida ya hayo maji ni hayawekwa Aluminium sulphate na unajua...
2.nimejaribu kuloby mara nyingi nipate hiyo tender ila kuna ukiritimba sijawahi ona kuna kampuni moja tu imepewa hiyo tenda
3.kama maji yana mayope maana shabu kama unavyoiita haijafika au haijaagizwa na hili halijaanza leo
4.wadada wote wa mjini wana shabu ndani...(aluminium sulphate) wanapata wapi? Najua unajua kazi yake kwa wanawake
5.hapo sijaweka base za kuineutralise....ila shida yenu ukiritimba ..product yenyewe ina profit margin ndogo
6.huu ni uzembe mkubwa sana yaani genchi na siasa mnaacha wananchiwanywe maji ya matope
Wanaitumia shabu kufanyaje wadada wa mjini?
 
Siku hizi media ni wewe mwenyewe.

Piga video clips, ongea matatizo yaliyopo, rusha kote, ita trend na wengine watapata content.

Dunia ya leo usingoje kufanyiwa, ukitaka media zinazojulikana tayari inabidsi uwalipe kama anavyofanya mpina.
One of rascals people in this country.
 
Media ya Tanzania haisaidii jamii kazi yake kubwa ni uchawa tu!

Yaani huku Tegeta maji yana matope kabisa lakini hakuna hata media moja inajadi badala yake wanajali Msigwa na upuuzi mwingine tu wa kichawa. 🙉
Bado enough nibwiki ya pili sasa maji yanatoka ya dizaini hiyo

Mimi jana nilishindwa hata kunawia uso ni takataka kabisa
 
Back
Top Bottom