Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa haifananishwi Kenya na Tanzania,huku mambo kama ukabila na ubaguzi tushasahau siku nyingi sana tangu mababu na mababu,Nyerere akaja akafuta kabisa kabisa,kwanza leo hata kuna watu huku hawajuagi wao ni kabila gani.[emoji15][emoji15][emoji15] Taarifa ni kutoka kwa Standard Media, video Citizen Tv. Usijaribu kufananisha Kenya na Magufulistan. Sijaelewa hoja ya mleta mada lakini, alitaka Kenya Police watumie nini wakati wanapambana na waandamanaji? Laughing gas?
Acha upuuzi ubaguzi mnawafanyia upinzani mchana kweupe huoni? Ubaguzi Tanzania ni zaidi ya ukaburu afrika kusini enzi za apartheid.Huwa haifananishwi Kenya na Tanzania,huku mambo kama ukabila na ubaguzi tushasahau siku nyingi sana tangu mababu na mababu,Nyerere akaja akafuta kabisa kabisa,kwanza leo hata kuna watu huku hawajuagi wao ni kabila gani.
Endeleeni tu kujifanya hamuoni yanayoendelea kwa sasa.
Kweli wewe akili zako zipo dunia ya kumi na nane.Acha upuuzi ubaguzi mnawafanyia upinzani mchana kweupe huoni? Ubaguzi Tanzania ni zaidi ya ukaburu afrika kusini enzi za apartheid.
Kwa kifupi tu,chukua namba namba nane ziandike kwa pamoja katika karatasi kubwa kisha ziweke mezani,kaa upande wa pili muite mwanao na yeye akae upande wa kwanza halafu muulize ameona nambangapi,jibu atakalo pata lazima lifanane na wewe,lisipo fanana nirudie nitakwambia ulikosea wapi,likifanana nitakwambia pia ulikosea wapi hadi mwanao akapatia kukushinda wewe.Acha upuuzi ubaguzi mnawafanyia upinzani mchana kweupe huoni? Ubaguzi Tanzania ni zaidi ya ukaburu afrika kusini enzi za apartheid.
I don't do trivials.Kwa kifupi tu,chukua namba namba nane ziandike kwa pamoja katika karatasi kubwa kisha ziweke mezani,kaa upande wa pili muite mwanao na yeye akae upande wa kwanza halafu muulize ameona nambangapi,jibu atakalo pata lazima lifanane na wewe,lisipo fanana nirudie nitakwambia ulikosea wapi,likifanana nitakwambia pia ulikosea wapi hadi mwanao akapatia kukushinda wewe.
Aisee Hawa askari wamefanya udhalilishaji mkubwa sana