Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Vita ya kutumia akili, kasi, uvumilivu na nguvu sasa imeshika kasi ambapo mabondia 19 wa Afrika wameingia hatua ya nusu fainali ya mashindano ya ndondi ya Michezo ya Jumuiya ya Madola, Jumamosi Agosti 6, 2022 kwenye Ukumbi wa Nec, Birmingham.
Nigeria inaongoza kwa kuwa na mabondia wanne, Ghana na Msumbiji zna mabondia watatu, Tanzania, Zambia na Afrika Kusini zina mabondia wawili wakati Botswana, Mauritius na Uganda zina mabondia wawili.
Mtanzania Kassim Mbundwike atapanda ulingoni kupigana na Tiago Muxanga wa Msumbiji, wakati Mtanzania mwingine Yusuf Lucasi Changalawe atazichapa na Sean Lazerini wa Scotland.
Mapambano ya wanza yanatarajiwa kuanza Saa 4.30 asubuhi (muda wa Birmingham) ambapo mabondia watano wa Afrika watakuwa ulingoni.
Kassim Selemani Mbundwike
Yusuf Lucasi Changalawe
Nigeria inaongoza kwa kuwa na mabondia wanne, Ghana na Msumbiji zna mabondia watatu, Tanzania, Zambia na Afrika Kusini zina mabondia wawili wakati Botswana, Mauritius na Uganda zina mabondia wawili.
Mtanzania Kassim Mbundwike atapanda ulingoni kupigana na Tiago Muxanga wa Msumbiji, wakati Mtanzania mwingine Yusuf Lucasi Changalawe atazichapa na Sean Lazerini wa Scotland.
Mapambano ya wanza yanatarajiwa kuanza Saa 4.30 asubuhi (muda wa Birmingham) ambapo mabondia watano wa Afrika watakuwa ulingoni.
Kassim Selemani Mbundwike
Yusuf Lucasi Changalawe