Mabondia wanaokuja Bongo wanafanyiwa Vetting?

Mabondia wanaokuja Bongo wanafanyiwa Vetting?

Shujaa Mwendazake

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
4,016
Reaction score
6,759
Huyu dogo anayepambana na Tony Rashid mbona sifa zilikuwa nyingi na anaonekana anakwenda kupoteza pambano.

Hizi trends za wabongo kushinda , je ni wako bora sana Africa au tunamdanganya nani?

Ni wakati sasa na wao kutoka kwenda S.Africa na sehemu nyingine kututhibitishia lakini si kwa hii michezo ya kuchagua opponents.
 
Nawaza siku aje mdau atembeze mkong`oto wa maana aanguke mtu na K.O , hawa wengine mpozo tu.

Hata huyo dogo kampiga dongo Tony Rashid kuwa ajikaze huko Mbele..
 
Tony Rashid kapoteza pambano na kapewa ushindi
 
Dogo ni mzuri sana anaushindani. Mabondia wa afrika ya kusini wengi wanaokuja tz wanaviwango
 
Always kwenye boxing mwenyeji mara nyingi ndio huwa anashinda

Ni mara chache sana mgeni kushinda
ABU wamejibu jana,

HII Tabia ya kulazimisha ionekane tunashinda inaua huu mchezo..

Raha ya hii kitu ni tuchapwe sana na tuwachape sana. Kusiwe na double standards, Itaukuza huu mchezo.
 
Ngumi bongo zina umandongamqndonga

Ova
 
Japo sijui boxing ila namashaka. Kuna yule dogo wa misri alikuja kupigana na twaha kiduku mtwara nilipofuatilia nikakuta dogo ana miaka haizidi 22. Japo alipigwa ila sikuona maana ya ushindi ule
 
Back
Top Bottom