Maboresho ya Barabara ya Mpiji Magoe imeanza

Maboresho ya Barabara ya Mpiji Magoe imeanza

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Maboresho ya Barabara ya Mpiji Magoe hadi Kibamba ndani ya Dar es Salaam umeanza kwa siku kadhaa sasa, hatua iliyofikiwa ni kumwaga kifusi na kushindilia, pia mashimo ambayo yalikuwepo awali yanasawazishwa

Upande wa Barabara ya Mbezi to Mpiji Magoe nayo imerekebishwa bado sehemu chache sana.


Mpijiii.jpg

UPDATES....

Hatua ya ukarabati imekuja baada ya Wadau mbalimbali wa JamiiForums kutoa malalamiko yao kupitia sehemu za kutoa maoni katika kurasa za kijamii na kwenye majukwaa ya JamiiForums.com kuhusu barabara husika.
Komen Magoe 1.jpg

Komenti Magoe.jpg
 
hakuna viwanja huko?
Vipo vingi sanaa ila sikushauri!
Nilinunua changu 2017 wakati wa bomoa bomoa ya upanuzi wa njia nne ya Kimara - Maili moja vilikuwa vinauzwa hadi laki tatu 😂

Ila ni afadhali ya hata anayeishi Kibaigwa ila sio Mpiji Magoe
 
Vipo vingi sanaa ila sikushauri!
Nilinunua changu 2017 wakati wa bomoa bomoa ya upanuzi wa njia nne ya Kimara - Maili moja vilikuwa vinauzwa hadi laki tatu [emoji23]

Ila ni afadhali ya hata anayeishi Kibaigwa ila sio Mpiji Magoe
Ubaya wake ni UPI ?
 
Back
Top Bottom