Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Vipo vingi sanaa ila sikushauri!hakuna viwanja huko?
Ubaya wake ni UPI ?Vipo vingi sanaa ila sikushauri!
Nilinunua changu 2017 wakati wa bomoa bomoa ya upanuzi wa njia nne ya Kimara - Maili moja vilikuwa vinauzwa hadi laki tatu [emoji23]
Ila ni afadhali ya hata anayeishi Kibaigwa ila sio Mpiji Magoe