Maboss wa JamiiForums kuna gari lenu hapa la umeme: Rolls Royce Spectre

Maboss wa JamiiForums kuna gari lenu hapa la umeme: Rolls Royce Spectre

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Katika press conference mwaka 2010, wakati iPhone 4 imetoka, Steve Jobs alivyoulizwa kama Apple wana mpango wa kutoa simu kubwa alijibu "no one is going to buy a big phone", akiamini kwamba size ya 3.5 inch ni perfect kwa simu. Muda huo ilikua kijembe kwa Samsung S1 iliyokua na 4 inch.

Kwa muda huo CEO wa Apple aliamini kwamba size kubwa ya screen sio future. Ni kama ambavyo miaka michache iliyopita, makampuni mengi ya magari yalivyoulizwa kuhusu kuhama kutoka ICE kwenda EV waliona kama haina haja kabisa, ila sasa kila mtu anaangalia EV au PHEV.

Na ndio kilichotokea kwa mkali wa luxury cars kutoka Manchester, United Kingdom, Rolls Royce alivyoamua kuingia EV mazima na kuanza na Rolls Royce Spectre.

2023_Rolls-Royce_Spectre_EV_-_102kWh_(585PS)_Electric_-_Wittering_Blue_-_06-2024,_Front.jpg
rolls-royce-spectre-003.jpg

Hii ni grand tourer (GT) coùpe ya milango miwili kutoka kwa RR ilioanza kuuzwa mwaka 2024 na ndio gari ya kwanza ya umeme kutoka kwa hawa wakali.

2023_Rolls-Royce_Spectre_EV_-_102kWh_(585PS)_Electric_-_Wittering_Blue_-_06-2024,_Side.jpg


Hii gari imechukua platform ya Rolls Royce Phantom na Cullinan. Ili chuma ni kubwa sana, Pamoja na kua na milango miwili tu ila ni refu.

Kwa mfano, urefu wa Toyota Crown ya 2007 ni mita 4.8 ila hii ina urefu wa mita 5.5 ikiwa imemzidi Crown sentimita 70. Kwa lugha nyepesi rula mbili na kidogo za mwanafunzi.

Rolls-Royce_Spectre_Anthracite_(16).jpg

Pamoja na kutokua na engine ya V12 kama tulivyozoea, hii EV sio ya kuichukulia poa, kwani inatoa jumla ya horsepower 577, kutoka kwenye motors mbili (hizi wametengenezewa na BMW) zitakazosaidia kwenye AWD.

bmw-i7-and-rolls-royce-spectre-prototypes-in-az-v0-jn0kq3o33ega1.jpg

(Pichani juu kushoto BMW i7 (electric version ya BMW 7 series) against pacha wake Rolls Royce Spectre wakichajiwa) ambae wameshare motors na baadhi ya technical features.

Battery yake ni kubwa, ina 102 kWh lakini itakupeleka maximum kilometa 530 tu ikiwa full charge. Najua utajiuliza kwann battery kubwa ivyo hafu range ndogo, hapa mchawi wetu ni uzito. Hii chuma ina uzito wa Kilo 2,975 hivi.
rolls-royce-spectre-012.jpg


Kwa reference, Tesla Model 3 2024 ina battery lenye ukubwa wa 82 kWh ila ina maximum range hadi ya kilometa 584, na uzito wake ni Kilo 1,830 tu. Karibia Kilo 1,000 pungufu.

rolls-royce-spectre-010.jpg


Ataivyo matajiri mtakaomiliki hii chuma sidhani kama mtataka kusafiri more than 500 km, otherwise mtachukua helicopter zenu.

rr-interior.jpg


Bei yake ya kuanzia ni $750,000 na itapanda zaidi kutegemea na options utakazochagua.

Mkileta tutaomba ata lift.
 
Katika press conference mwaka 2010, wakati iPhone 4 imetoka, Steve Jobs alivyoulizwa kama Apple wana mpango wa kutoa simu kubwa alijibu "no one is going to buy a big phone", akiamini kwamba size ya 3.5 inch ni perfect kwa simu. Muda huo ilikua kijembe kwa Samsung S1 iliyokua na 4 inch.

Kwa muda huo CEO wa Apple aliamini kwamba size kubwa ya screen sio future. Ni kama ambavyo miaka michache iliyopita, makampuni mengi ya magari yalivyoulizwa kuhusu kuhama kutoka ICE kwenda EV waliona kama haina haja kabisa, ila sasa kila mtu anaangalia EV au PHEV.

Na ndio kilichotokea kwa mkali wa luxury cars kutoka Manchester, United Kingdom, Rolls Royce alivyoamua kuingia EV mazima na kuanza na Rolls Royce Spectre.

View attachment 3054546View attachment 3054547
Hii ni grand tourer (GT) coùpe ya milango miwili kutoka kwa RR ilioanza kuuzwa mwaka 2024 na ndio gari ya kwanza ya umeme kutoka kwa hawa wakali.

View attachment 3054548

Hii gari imechukua platform ya Rolls Royce Phantom na Cullinan. Ili chuma ni kubwa sana, Pamoja na kua na milango miwili tu ila ni refu.

Kwa mfano, urefu wa Toyota Crown ya 2007 ni mita 4.8 ila hii ina urefu wa mita 5.5 ikiwa imemzidi Crown sentimita 70. Kwa lugha nyepesi rula mbili na kidogo za mwanafunzi.

View attachment 3054549
Pamoja na kutokua na engine ya V12 kama tulivyozoea, hii EV sio ya kuichukulia poa, kwani inatoa jumla ya horsepower 577, kutoka kwenye motors mbili (hizi wametengenezewa na BMW) zitakazosaidia kwenye AWD.

View attachment 3054550
(Pichani juu kushoto BMW i7 (electric version ya BMW 7 series) against pacha wake Rolls Royce Spectre wakichajiwa) ambae wameshare motors na baadhi ya technical features.

Battery yake ni kubwa, ina 102 kWh lakini itakupeleka maximum kilometa 530 tu ikiwa full charge. Najua utajiuliza kwann battery kubwa ivyo hafu range ndogo, hapa mchawi wetu ni uzito. Hii chuma ina uzito wa Kilo 2,975 hivi.
View attachment 3054551

Kwa reference, Tesla Model 3 2024 ina battery lenye ukubwa wa 82 kWh ila ina maximum range hadi ya kilometa 584, na uzito wake ni Kilo 1,830 tu. Karibia Kilo 1,000 pungufu.

View attachment 3054552

Ataivyo matajiri mtakaomiliki hii chuma sidhani kama mtataka kusafiri more than 500 km, otherwise mtachukua helicopter zenu.

View attachment 3054553

Bei yake ya kuanzia ni $750,000 na itapanda zaidi kutegemea na options utakazochagua.

Mkileta tutaomba ata lift.
Kama kawaida unaongelea bilions of money😀😀
 
Hii ndiyo luxury yenye Akili, najua baadhi ya wakenya watakuwa wanaendesha mtaani tofauti na hapa bongo sidhani kama kuna tajiri anaweza kuagiza hii gari tofauti na celebrities.

Hata hivyo hii RR ni mzigo Sana kama imefika tani 3 kama fuso si itakuwa balaa Kwa barabara zetu za KIVULE NA KITUNDA
 
Hii ndiyo luxury yenye Akili, najua baadhi ya wakenya watakuwa wanaendesha mtaani tofauti na hapa bongo sidhani kama kuna tajiri anaweza kuagiza hii gari tofauti na celebrities.

Hata hivyo hii RR ni mzigo Sana kama imefika tani 3 kama fuso si itakuwa balaa Kwa barabara zetu za KIVULE NA KITUNDA
Marufuku kuweka tyre za GoodRide za laki nas ishirini.
 
Back
Top Bottom