Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,009
- 60,629
Well...well..well....nani anaamini kwamba hata Bucha likiwa tofauti nyama ni ile ile?! Na wale wanaoamini tofauti hata wasiishe kubadili mabucha kila siku ni nini haswa hua kinawashawishi kuamini tofauti?
Ukweli ni kwamba nyama ya ngombe ni ya ngombe...ya kuku ni ya kuku...ya sungura ni ya sungura na haziwezi kuwa na ladha ya aina nyingine ya nyama.Tofauti kubwa ipo kwenye MIFUPA...STEAK na MAFUTA.Hivi ndivyo vitu vikuu vinavyoweza kufanya ladha itofautiane kidogo.Alafu kuna uhifadhi (kwa hisani ya mutu moja yenye kitambi ila inaficha kwa kutochomekea shati) ....kuna mabucha yanayowekwa katika hali ya usafi na mengine yako hovyoo tu...japo hili halibadili ladha linaweza kuongeza au kupunguza hamu ya kula nyama uliyonunua wewe bila kuzingatia usafi wa ulipoinunua.
Pamoja na hayo yote niliyosema ukweli unabaki pale pale kwamba tofauti ya bucha sio tofauti ya nyama.Kwahiyo kwa wale wanaoamini nyama ya kwa Mrombo inatofautiana ya kwa Kassimu ambayo nayo inatofautiana na ya kwa Moleli wakati zote ni ngombe msijidanganye.
Unachotakiwa kufanya ni kujua unapendelea nini zaidi kati ya MAFUTA..STEAK na MIFUPA kisha uchague kimoja.Zingatia afya na hali yako kwenye kuchagua...kama una presha sijui na BP kaa mbali na mafuta...kama huna meno usitake kuumiza fizi zako kwa mifupa na kama unaweza kuafford steak go for it.
Neway ukishachagua nyama yako toka kwenye bucha linalokuridhisha kwa usafi na bei sasa zingatia kilicho muhimu na kinacholeta tofauti ya kweli....MAPISHI.Hapa ndio wengi wanapokosea...na ndio maana hata baada ya mabucha manne matano bado mtu anakua anahangaika kwasababu haoni tofauti kwasababu popote pale anaponunua mwisho wa siku anarudia mapishi yale yale ya jana.Wewe kama mpishi kua MBUNIFU...sio ukishakula unaanza kulalama chakula hakikunoga sababu sijui chumvi ilizidi...mara sijui kilikua kimepoa and the likes wakati wewe ndo uliyekua jikoni.Usijizoeshe mchemsho tu au mkaango tu kila siku...hayo sio mapishi pekee.Jaribu aina tofauti...buni...jifunze FURAHIA.
Ni sawa na ule msemo wa mchele mmoja mapishi mengi...utazunguka weeeee ila mwisho wa siku kama sio mpunifu utamaliza duara bila jipya.
PS...sitaki maswali ya kama usome katikati au pembeni ya mstari...kua mbunifu.
Ukweli ni kwamba nyama ya ngombe ni ya ngombe...ya kuku ni ya kuku...ya sungura ni ya sungura na haziwezi kuwa na ladha ya aina nyingine ya nyama.Tofauti kubwa ipo kwenye MIFUPA...STEAK na MAFUTA.Hivi ndivyo vitu vikuu vinavyoweza kufanya ladha itofautiane kidogo.Alafu kuna uhifadhi (kwa hisani ya mutu moja yenye kitambi ila inaficha kwa kutochomekea shati) ....kuna mabucha yanayowekwa katika hali ya usafi na mengine yako hovyoo tu...japo hili halibadili ladha linaweza kuongeza au kupunguza hamu ya kula nyama uliyonunua wewe bila kuzingatia usafi wa ulipoinunua.
Pamoja na hayo yote niliyosema ukweli unabaki pale pale kwamba tofauti ya bucha sio tofauti ya nyama.Kwahiyo kwa wale wanaoamini nyama ya kwa Mrombo inatofautiana ya kwa Kassimu ambayo nayo inatofautiana na ya kwa Moleli wakati zote ni ngombe msijidanganye.
Unachotakiwa kufanya ni kujua unapendelea nini zaidi kati ya MAFUTA..STEAK na MIFUPA kisha uchague kimoja.Zingatia afya na hali yako kwenye kuchagua...kama una presha sijui na BP kaa mbali na mafuta...kama huna meno usitake kuumiza fizi zako kwa mifupa na kama unaweza kuafford steak go for it.
Neway ukishachagua nyama yako toka kwenye bucha linalokuridhisha kwa usafi na bei sasa zingatia kilicho muhimu na kinacholeta tofauti ya kweli....MAPISHI.Hapa ndio wengi wanapokosea...na ndio maana hata baada ya mabucha manne matano bado mtu anakua anahangaika kwasababu haoni tofauti kwasababu popote pale anaponunua mwisho wa siku anarudia mapishi yale yale ya jana.Wewe kama mpishi kua MBUNIFU...sio ukishakula unaanza kulalama chakula hakikunoga sababu sijui chumvi ilizidi...mara sijui kilikua kimepoa and the likes wakati wewe ndo uliyekua jikoni.Usijizoeshe mchemsho tu au mkaango tu kila siku...hayo sio mapishi pekee.Jaribu aina tofauti...buni...jifunze FURAHIA.
Ni sawa na ule msemo wa mchele mmoja mapishi mengi...utazunguka weeeee ila mwisho wa siku kama sio mpunifu utamaliza duara bila jipya.
PS...sitaki maswali ya kama usome katikati au pembeni ya mstari...kua mbunifu.