Mabucha tofauti......

Hatoweza...au atadonoa donoa tu alafu wali maharage ukiliwa na mwingine mtu anaanza kunung‘unika.

sio kweli
wengine we have a larger appetite..
a bigger one lol
 
blaki womani
out of topic....

cant you change ur name
like black woman
or mwanamke mweusi
 
Kwahiyo mpishi mzuri anaweza akafanya nyama ya mbuzi ikawa tamu kama ya kiti moto au ya kuku....?Alafu labda nyama nyingine zinajipika zenyewe haziitaji preparation ya nguvu au...?, yaani ukimwaga viongo vyako ukachemsha tayari ushapenda....?
hakuna nyama inayojipika, nyama lazima ipikwe na mtu. Kama nyama yako ya ng'ombe mzee weka tangawizi kulainisha, kama imekaa sana kwenye friji weka japo vitunguu swaumu kuipa taste nzuri. Viungo muhimu kwenye mapishi ya nyama ila vikizidi utamu wa nyama unapotea. Sio nyama umeitoa buchani hata kuiosha hujaiosha ushaibandika jioni.Ladha ya nyama ya kuku, ngo'mbe, mbuzi ni tofauti. Ukipenda kuku tafuta kuku.
 
magu kama hujanielewa ...sijasema nyama za wanyama wote zinafanana ila kama mnyama ni yule yule hamna jipya.wanyama wa porini baadhi wanajulikana kwa utamu waa sio uongo.

umeishakubali kuwa kuna tofauti hapo!dada visungura pori vina utamu wake!
 
Asante Hus....wengine eti wanataka kwenye ng‘ombe wapat ladha ya kondoo.
 
Sasa wewe kama mhusika mkuu kwenye swala zima la kupika na kuandaa mbona yote uliyosema yapo ndani ya uwezo wako kurekebisha?! Ni kiasi tu cha kuiserve nyama kwenye sahani inayovutia...juu ya meza safi na ndani ya sebule safi.

kuna wengine bana hata kama sahani ni safi na umesave kwenye mazingira safi bado kitu kinatoa ladha mbaya bana
bora kujaribu bucha na wapishi tofauti
 
kuna wengine bana hata kama sahani ni safi na umesave kwenye mazingira safi bado kitu kinatoa ladha mbaya banabora kujaribu bucha na wapishi tofauti
Ladha mbaya inatokana na mapishi mabaya hivyo jilaumu wewe mpishi.
 
Ladha mbaya inatokana na mapishi mabaya hivyo jilaumu wewe mpishi.

Wewe bana kila kitu nimekuwekea na nyama ni nzuri bucha safi na sasa mapishi kwa nini ushindwe
ndo maana nahamia mtaa wa tatu ambako bila hata mazagazaga nyama inapikwa vizuri mbaya
 
appetite zinazoongozwa na lil blue pills... Ndo maana mnazeeka haraka alafu mnakimbiwa.

we tuombe radhi..
Lil blue pills ni kwa wazee tu..
Not young and restless
 
malalamiko yanakwenda upande mmoja upande mwingine hahusiki

tunasikia malalamiko
labda na nyinyi walaji
mmezidi viwango,kwa kula kula sana...
Hamu zenu zipo juu ya viwango

umeona ombi langu black woman?
 
Wewe bana kila kitu nimekuwekea na nyama ni nzuri bucha safi na sasa mapishi kwa nini ushindwe ndo maana nahamia mtaa wa tatu ambako bila hata mazagazaga nyama inapikwa vizuri mbaya
Wewe hapo ndio mwenye jukumu la kuhakikisha mapishi yanaenda vizuri...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…