MACELEBRITIES wengi nchini wamekua wakizungumzia nia zao za kugombea ubunge 2015... Wakiwa hawana sababu nyingi... Mfano Loveness malinzi "diva" juzi kachukua kadi ya chadema na kusema nia yake.. JB pia katangaza nia yake.. Na wengine kama Mange kimambi,Briggite(ms TZ),wema sepetu na wengineo kibao... Je hii inaonyesha siasa imekua au inaporomoka kwa watu kutaka kusaka faida tu na c kwa ajili ya watu
Ndugu Yangu Verdy CB, nadhani matokea ya hilo unalo liongelea tayari unaliona Bungeni. Sasa ili uwe Mbunge Mahiri, inahitajika uwe na uwezo wa kuporomosha Matusi kadri ya Uwezo wako, Ngumi Mkononi, Kufoka kwa sana, Hasa hasa Muongozo wa Spika na hasa Kuunga mkono Hoja kwa asilimia 100% ni Ndio Sifa Muhimu za kua mbunge.