Verdy CB
Senior Member
- Mar 19, 2013
- 149
- 66
MACELEBRITIES wengi nchini wamekua wakizungumzia nia zao za kugombea ubunge 2015... Wakiwa hawana sababu nyingi... Mfano Loveness malinzi "diva" juzi kachukua kadi ya chadema na kusema nia yake.. JB pia katangaza nia yake.. Na wengine kama Mange kimambi,Briggite(ms TZ),wema sepetu na wengineo kibao... Je hii inaonyesha siasa imekua au inaporomoka kwa watu kutaka kusaka faida tu na c kwa ajili ya watu