Mchoraji Cyper255
JF-Expert Member
- Nov 21, 2012
- 1,780
- 6,133
Mwanamke anaweza vumilia umaskini wa babake ,ila sio umaskini wa mume wakeKatika harakati zangu za ubaharia , uvushaji, uchakataji na hata kuwanafikia hawa viumbe na muda mwingine kudate nao nimegundua mambo kadhaa
1: Usidate wala kufungamana na mwanamke anaye amini na kuheshimu viongozi wa dini, hao ndio ma bwana zake wa kwanza wewe ni wapili
2: Usimpende mwanamke wewe mjali alafu jukumu la kupenda awe nalo yeye
3: Usitake kuishi na mwanamke mwache yeye ndiye atake kuishi na wewe
4: Usishinde nyumbani na mwanamke hata kama siku hiyo huendi kazini
5: Usimwambie mwanamke huna hela, kama hela huna wewe mchenge tuu kadiri ujuavyo, ni mara mia ajue unazo hutaki kumpa kuliko ajue hauna ndugu yangu hapo utabakiwa na manyoya
6:Usimuamini mwanamke hata kidogo huyo ni adui yako muda wowote ana kulipua na ana kuua kabisa indirect ikibidi
7: Usiamini mimba aliyobeba mwanamke hata kama unahisi ni yako
8: Usimtendee mwanamke wema wala usimgaramikie kwa lengo la kua nae, usimuonee huruma mwanamke, wala usisikilize sauti za kilio chake na kuyathamini machozi yake
9: Mwanamke akiwa ndani kwako huyo ni wako , akitoka nje jua kabisa ni wa wenzako subiri atarudi mwenyewe asipo rudi tafuta mwingine
10: Mwanamke akikutishia tuachane akakusanya virago vyake na kwenda kwao , kamwe usimbeleze na wala usimtake abaki. Mwache aende na akimaliza mwezi mmoja kwao achana nae kabisa huyo siyo wako
11: Usimpigie mwanamke magoti unapo mvisha pete ya aina yeyote kamwe usimsujudie mwanamke, kama anataka kuolewa atapiga goti yeye hataki achama nae
12: Mwanamke anayejipost mitandaoni mara kwa mara huyo siyo wako achana nae
13: Usifungamane na mwanamke mwenye imani kali huyo kukuchinja hashindwi hana tofauti na Magaidi wa IS
14: Usifungamane na mwanamke ambaye hakusikilizi wala hakuagi anapoenda
15: Epuka kuwa na mwanamke msiri kwako ikibidi kimbia kabisa
16: Ili udumu na mwanamke ni lazima umpuuze kabisa kabisa, weka pamba masikioni na zuia kinywa chako kuwa chepesi kuongea na mikono yako kumpiga
17: Usiishi / kuoa mwanamke ambaye bado anawaza kusaidia kwao na muda mwingi ana wasikiliza ndugu zake
18: Usioe wala kudate na mwanamke ambaye yupo karibu sana na mama yake, hata kama baba yake alikufa/ waliachana
* Ili uishi na mwanamke kwa amani ndani ya ndoa/uchumba sugu lazima ujue hakuna tofauti na kuishi na kichaa ndani*
Mimi nakushauri uwe demu wangu utanishkuru baadae achana na wahuni watakutesa Kama mtoa mada, Mimi siko Kama yeyeMkuu tushauri basi na sisi wanawake kuhusu wanaume [emoji23]
Au unadhani wanaume wamenyooka kama malaika.
Kama hupewi pesa unadharauliwa, mwanamke lazima apewe pesa hebu nitumie tigo pesa yako nikufanyie muamala faster mtoto mzuriZulu man utaniponza! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona sipewi pesa au ndio nishajichanganya! [emoji1787]
Sasa unadhani kwa unavyonifanyia utakuwa huna tofauti na wanawake anaowasema mtoa mada, jaribu kulainisha moyo wako japo kidogo unipe nafasi my love[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hatar sana ana stress sio poa
Wanunuzi tupo[emoji16][emoji16][emoji16]Ndio nipo hapa kuhalalisha umalayer una kingine cha kuuliza nikujibu.
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
16.ushauri huu niliusikia kwa babu...Katika harakati zangu za ubaharia , uvushaji, uchakataji na hata kuwanafikia hawa viumbe na muda mwingine kudate nao nimegundua mambo kadhaa
1: Usidate wala kufungamana na mwanamke anaye amini na kuheshimu viongozi wa dini, hao ndio ma bwana zake wa kwanza wewe ni wapili
2: Usimpende mwanamke wewe mjali alafu jukumu la kupenda awe nalo yeye
3: Usitake kuishi na mwanamke mwache yeye ndiye atake kuishi na wewe
4: Usishinde nyumbani na mwanamke hata kama siku hiyo huendi kazini
5: Usimwambie mwanamke huna hela, kama hela huna wewe mchenge tuu kadiri ujuavyo, ni mara mia ajue unazo hutaki kumpa kuliko ajue hauna ndugu yangu hapo utabakiwa na manyoya
6:Usimuamini mwanamke hata kidogo huyo ni adui yako muda wowote ana kulipua na ana kuua kabisa indirect ikibidi
7: Usiamini mimba aliyobeba mwanamke hata kama unahisi ni yako
8: Usimtendee mwanamke wema wala usimgaramikie kwa lengo la kua nae, usimuonee huruma mwanamke, wala usisikilize sauti za kilio chake na kuyathamini machozi yake
9: Mwanamke akiwa ndani kwako huyo ni wako , akitoka nje jua kabisa ni wa wenzako subiri atarudi mwenyewe asipo rudi tafuta mwingine
10: Mwanamke akikutishia tuachane akakusanya virago vyake na kwenda kwao , kamwe usimbeleze na wala usimtake abaki. Mwache aende na akimaliza mwezi mmoja kwao achana nae kabisa huyo siyo wako
11: Usimpigie mwanamke magoti unapo mvisha pete ya aina yeyote kamwe usimsujudie mwanamke, kama anataka kuolewa atapiga goti yeye hataki achama nae
12: Mwanamke anayejipost mitandaoni mara kwa mara huyo siyo wako achana nae
13: Usifungamane na mwanamke mwenye imani kali huyo kukuchinja hashindwi hana tofauti na Magaidi wa IS
14: Usifungamane na mwanamke ambaye hakusikilizi wala hakuagi anapoenda
15: Epuka kuwa na mwanamke msiri kwako ikibidi kimbia kabisa
16: Ili udumu na mwanamke ni lazima umpuuze kabisa kabisa, weka pamba masikioni na zuia kinywa chako kuwa chepesi kuongea na mikono yako kumpiga
17: Usiishi / kuoa mwanamke ambaye bado anawaza kusaidia kwao na muda mwingi ana wasikiliza ndugu zake
18: Usioe wala kudate na mwanamke ambaye yupo karibu sana na mama yake, hata kama baba yake alikufa/ waliachana
* Ili uishi na mwanamke kwa amani ndani ya ndoa/uchumba sugu lazima ujue hakuna tofauti na kuishi na kichaa ndani*
Chek na huyu muharibifuKama hupewi pesa unadharauliwa, mwanamke lazima apewe pesa hebu nitumie tigo pesa yako nikufanyie muamala faster mtoto mzuri
Eenhe mkuu punguza speed basi π Mimi ni shangazi ntakuwaje demu? Mwenyewe Natafuta benten. πMimi nakushauri uwe demu wangu utanishkuru baadae achana na wahuni watakutesa Kama mtoa mada, Mimi siko Kama yeye
Inaonekana vikao vya wanaume wenzio wa JF huhudhurii, huwa unakuwa wapi?Kama hupewi pesa unadharauliwa, mwanamke lazima apewe pesa hebu nitumie tigo pesa yako nikufanyie muamala faster mtoto mzuri
Ukimfumania mwanaume ata kama umemwona kwa macho yako, akipinga ajafanya kitu wewe amini tu , ikishindikana kabisa amini ulikua unaota na hakuna kitu.Mkuu tushauri basi na sisi wanawake kuhusu wanaume [emoji23]
Au unadhani wanaume wamenyooka kama malaika.
Na iwe hivyo kwa wanao, binti zako, dada zako, mama aliyekuzaa, shangazi, bibi zako wote. Imeenda.Katika harakati zangu za ubaharia , uvushaji, uchakataji na hata kuwanafikia hawa viumbe na muda mwingine kudate nao nimegundua mambo kadhaa
1: Usidate wala kufungamana na mwanamke anaye amini na kuheshimu viongozi wa dini, hao ndio ma bwana zake wa kwanza wewe ni wapili
2: Usimpende mwanamke wewe mjali alafu jukumu la kupenda awe nalo yeye
3: Usitake kuishi na mwanamke mwache yeye ndiye atake kuishi na wewe
4: Usishinde nyumbani na mwanamke hata kama siku hiyo huendi kazini
5: Usimwambie mwanamke huna hela, kama hela huna wewe mchenge tuu kadiri ujuavyo, ni mara mia ajue unazo hutaki kumpa kuliko ajue hauna ndugu yangu hapo utabakiwa na manyoya
6:Usimuamini mwanamke hata kidogo huyo ni adui yako muda wowote ana kulipua na ana kuua kabisa indirect ikibidi
7: Usiamini mimba aliyobeba mwanamke hata kama unahisi ni yako
8: Usimtendee mwanamke wema wala usimgaramikie kwa lengo la kua nae, usimuonee huruma mwanamke, wala usisikilize sauti za kilio chake na kuyathamini machozi yake
9: Mwanamke akiwa ndani kwako huyo ni wako , akitoka nje jua kabisa ni wa wenzako subiri atarudi mwenyewe asipo rudi tafuta mwingine
10: Mwanamke akikutishia tuachane akakusanya virago vyake na kwenda kwao , kamwe usimbeleze na wala usimtake abaki. Mwache aende na akimaliza mwezi mmoja kwao achana nae kabisa huyo siyo wako
11: Usimpigie mwanamke magoti unapo mvisha pete ya aina yeyote kamwe usimsujudie mwanamke, kama anataka kuolewa atapiga goti yeye hataki achama nae
12: Mwanamke anayejipost mitandaoni mara kwa mara huyo siyo wako achana nae
13: Usifungamane na mwanamke mwenye imani kali huyo kukuchinja hashindwi hana tofauti na Magaidi wa IS
14: Usifungamane na mwanamke ambaye hakusikilizi wala hakuagi anapoenda
15: Epuka kuwa na mwanamke msiri kwako ikibidi kimbia kabisa
16: Ili udumu na mwanamke ni lazima umpuuze kabisa kabisa, weka pamba masikioni na zuia kinywa chako kuwa chepesi kuongea na mikono yako kumpiga
17: Usiishi / kuoa mwanamke ambaye bado anawaza kusaidia kwao na muda mwingi ana wasikiliza ndugu zake
18: Usioe wala kudate na mwanamke ambaye yupo karibu sana na mama yake, hata kama baba yake alikufa/ waliachana
* Ili uishi na mwanamke kwa amani ndani ya ndoa/uchumba sugu lazima ujue hakuna tofauti na kuishi na kichaa ndani*
Ahhhh ππππ hii itanisaidia eenhe?Ukimfumania mwanaume ata kama umemwona kwa macho yako, akipinga ajafanya kitu wewe amini tu , ikishindikana kabisa amini ulikua unaota na hakuna kitu.
π€£π€£π€£Ahhhh ππππ hii itanisaidia eenhe?
Nitakuwa miss Delulu π€£