Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
- Thread starter
-
- #21
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£chai
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Chai
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Chai
πππππππChai
ππππππππChai
Au ChikongweJuma khan
ππππππππππWote mliosema hii ni chai mnakatwa
πππππππππChai
Achana nao mkuu, ni matahira hao.Mbona kila mtu kaandika CHAI kuna nini kwani?
ππππππππNi toka nitoke na shah Rukh Khan huyo..
Mpaka leo bado inaishi.Music yake ilikuwa ya kiwango sana
We subiria hapohapo mikate inakujaππMbona kila mtu kaandika CHAI kuna nini kwani?
Jamaa alinifanya nina store ya movie za kihindi aisee. Yani movie akiiwekea yeye maneno ya kiswahili nailewa sana hao ma dj wengine walinishinda.Juma khan
Hahahahaha..za kihindi sitazami ila jamaa anawapatia...kuna yule dj mark nae anajitahidi huyu nishaangalia movie zakeHuyu
Jamaa alinifanya nina store ya movie za kihindi aisee. Yani movie akiiwekea yeye maneno ya kiswahili nailewa sana hao ma dj wengine walinishinda.
Japo sio mpenzi kabisa wa movie zilizo wekewa maneno ya kiswahili.
Hahahahaha....sawa sawa na sauti yake ileAu Chikongwe
Jamaa anakwambia,"Naitwa Juma Khan au Chikongwe napatikana kwa namba 0753403503 kupata mikanda hii, kwa wanaokodisha ni manfree video library kariakoo katika jiji la dare salaam" πππππππππHahahahaha....sawa sawa na sauti yake ile
Mtaa wa likoma na msimbazi...mwamba huyu hapa...filamu hii imepata kibali toka bodi ya filamu ya india... [ kwa sauti ya juma khan ]Jamaa anakwambia,"Naitwa Juma Khan au Chikongwe napatikana kwa namba 0753403503 kupata mikanda hii, kwa wanaokodisha ni manfree video library kariakoo katika jiji la dare salaam" πππππππππ