Machache usiyoyajua kuhusu filamu ya "Kuch Kuch Hota Hai"

Machache usiyoyajua kuhusu filamu ya "Kuch Kuch Hota Hai"

Huyu

Jamaa alinifanya nina store ya movie za kihindi aisee. Yani movie akiiwekea yeye maneno ya kiswahili nailewa sana hao ma dj wengine walinishinda.

Japo sio mpenzi kabisa wa movie zilizo wekewa maneno ya kiswahili.
Hahahahaha..za kihindi sitazami ila jamaa anawapatia...kuna yule dj mark nae anajitahidi huyu nishaangalia movie zake
 
Jamaa anakwambia,"Naitwa Juma Khan au Chikongwe napatikana kwa namba 0753403503 kupata mikanda hii, kwa wanaokodisha ni manfree video library kariakoo katika jiji la dare salaam" 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mtaa wa likoma na msimbazi...mwamba huyu hapa...filamu hii imepata kibali toka bodi ya filamu ya india... [ kwa sauti ya juma khan ]
 
Mleta mada, unazungumziaje ule msemo uliobeba maudhui ya filamu, Love is friendship
 
Peyari kahe,,, mbona hujaweka mr marotra na baraganza🤣🤣
 
Back
Top Bottom